Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,566
nilikuwa najiuliza nitapata wapi kitu kama hii sasa hapa bongo zinapatikana wap au baso hazijafika
lakini hiyo bei nayo mh ! hatari
ni km laki nane hivihivi kibongobongo
lkn kwalaptop yangu 52000mah itasukuma siku km kweri specs zake ni true
huwezi zipata huku ndio zinatoka hivyo, hapo hadi uagizie au ununue online