Power bank kwa ajili ya laptop!?

Power bank kwa ajili ya laptop!?

nunua battery ya gari labda, inategemea na aina ya processor utakayotumia kama una processor za core (i3/i5/i7) zenye nguvu na kutumia watts nyingi kitu kama power bank utakimaliza faster tu.

ila ukiwa na processor inayotumia watts chache kama core m au celeron na pentium za braswell au baytraail/cherry trail processor unaweza tumia power bank ila laptop hizi tayari zinakaa sana na chaji utakuta nyingi zinazidi masaa 10 ya ukaaji chaji
are you serious?
 
mbona review kimeo? seems inafanya kazi lakini wengi wanailalamikia quality control yao. na hio bei ipo on sale dola 129 kama laki 2 na nusu na inauzwa hadi dola 300.

ushauri wangu nunua tu battery yenye uwezo mkubwa ya 90wh kutokana na review za online itakaa around masaa 8 hadi 9.
Una point hapo.Mi pia nlikiwa nasita kujiripua nikiagiza hlf nakuja itumia nakuta famba itaniuma hela yenyewe ngumu hvi.Japo kiuhalisia battery hata masaa sita hautaweza.Endapo 49Wh imekaa lisaa na nusu,90Wh ikijitahd sana masaa matatu.May be ngoja niresearch option ya kununua battery na inverter nione efficiency yake.
 
Una point hapo.Mi pia nlikiwa nasita kujiripua nikiagiza hlf nakuja itumia nakuta famba itaniuma hela yenyewe ngumu hvi.Japo kiuhalisia battery hata masaa sita hautaweza.Endapo 49Wh imekaa lisaa na nusu,90Wh ikijitahd sana masaa matatu.May be ngoja niresearch option ya kununua battery na inverter nione efficiency yake.
mkuu laptop yako ina kama miaka 5 au zaidi na battery yake imeshaanza kuwa haina nguvu tena sababu imetumika sana. ukinunua 49wh mpya haitakaa lisaa moja na nusu huenda ikakaa hata masaa 4, au battery yako ni mpya?
 
mkuu laptop yako ina kama miaka 5 au zaidi na battery yake imeshaanza kuwa haina nguvu tena sababu imetumika sana. ukinunua 49wh mpya haitakaa lisaa moja na nusu huenda ikakaa hata masaa 4, au battery yako ni mpya?
Ni kweli imeshakuwa ya muda kidogo,lakini hata wakat ipo mpya ilikuwa haifiki masaa 4,nachohitaji ni zaid hata ya masaa ma4,i knw its possible
 
Ni kweli imeshakuwa ya muda kidogo,lakini hata wakat ipo mpya ilikuwa haifiki masaa 4,nachohitaji ni zaid hata ya masaa ma4,i knw its possible
hapo zamani ilifika masaa mangapi? then double hayo masaa ndio utakayopata kwa 90wh.

pia hayo masaa mengi ya chaji unataka kwa ajili ya nini? kama ni kujisomea tu na kuangalia video ni vyema tu tafuta laptop za atom baytrail/cherry trail utapata masaa zaidi ya 10, na bei zake hazifiki dola 200 cheki acer aspire one 14" na asus eebok x205
 
hapo zamani ilifika masaa mangapi? then double hayo masaa ndio utakayopata kwa 90wh.

pia hayo masaa mengi ya chaji unataka kwa ajili ya nini? kama ni kujisomea tu na kuangalia video ni vyema tu tafuta laptop za atom baytrail/cherry trail utapata masaa zaidi ya 10, na bei zake hazifiki dola 200 cheki acer aspire one 14" na asus eebok x205
Kununua laptop yenye uwezo wa kukaa masaa nnayotaka,na ikawa na specs nazohitaj natakiwa niwe kama na 3M kwenda juu..plus ntatakiwa kununua tena baadhi ya softwares ambazo ni expensive sana..ndo mana nikapendelea option hii.Laptop naitumia mainly kwa ajili ya kaz tu,lakin sio kusoma kama shule,kaz yenyewe inahitaji processor intensive softwares among other things,desktop ni out of option kbs sbb ya power.Ndo mana nahitaji laptop ngumu,yenye keyboard pana.Kuna baadhi ya vitu kikishaanza ndo mpk kimalize hata kama ni 2hrs.Ukikatisha manake urudie,nadhan we utakuwa unanielewa.Kuna hz laptops za siku hz nyembamba na ndogo kwa umbo,mara nyingi zina usb ports moja na hazina serial ya graphics kwa ajil ya video output,zenyewe zina hdmi.Zinakaa sana na charge ila ss vipo kisasa zaid namm kuna vitu vya zaman navihitaj.
 
option nyengine
-ups za desktop- hizi zimetengenezwa kukaa dakika chache na zinatoa umeme mwingi ila ukizimod na kuregulate umeme unaweza pata masaa

-battery ya pikipiki ndogo ndogo kama ya gari itashindikana
 
Option nzuri nunua battery hata tano za hiyo laptop yako, battery moja ikiisha chaji unaweka nyingine.
 
option nyengine
-ups za desktop- hizi zimetengenezwa kukaa dakika chache na zinatoa umeme mwingi ila ukizimod na kuregulate umeme unaweza pata masaa

-battery ya pikipiki ndogo ndogo kama ya gari itashindikana
Chief ujue ingependeza kama ungesema kbs kwann ishindikane.Je ni sbb ya electrical energy ni ndogo..au sbb haiwezekan kutumia betri ya gar kupata umeme wenye sifa inayofaa kwa laptop!!?Na je kama issue ni electrical energy ni ndogo nn tatzo endapo ntakuwa na betri kama hzo 5.Maana ktk scale kubwa watu wenye servers huwa wanatumia same architecture,betri za dc ambazo zinachajiwa kwa AC ya kawaida.Ac ya kawaida ikipotea inverter inabadil dc kuwa ac mambo yanaenda.Unaweza sema wao watakuwa na betri kubwa na bora kwa ajil ya kaz hiyo fine,lakin kumbuka pia mi naongelea umeme wa laptop..ambayo pengine wakat huo umeme unakatika battery ipo full so current utakayohitajika ni kdg sana may b 1.5A.
 
option nyengine
-ups za desktop- hizi zimetengenezwa kukaa dakika chache na zinatoa umeme mwingi ila ukizimod na kuregulate umeme unaweza pata masaa

-battery ya pikipiki ndogo ndogo kama ya gari itashindikana
Issue sio kuregulate voltage,issue ni kiasi cha Wh(energy),inayohifadhiwa.Cheza na voltage na current unavyotaka mwisho wa siku energy ni ile ile unless uongeze cells za kuhifadhi umeme.This will not work nadhan..
 
Nahitaji kujua wapi naweza pata hizi vitu hapa Dar-es-Salaam.Amazon na Alibaba naona zipo nyingi tu nahisi hata bongo zitakuwepo the qn is where.

Mi ni miongoni mwa watu ambao hujikuta hawahitaji kbs laptop kuishiwa charge sababu ya umeme kukatika. Kwa yeyote anayejua zinakopatikana ani-update tafadhali!

Wasiliana na Perfect Infotech International Limited, wanazo power bank kwa ajili ya laptop na matumizi mengine, zina uwezo wa kujump-start gari iwapo ina matatizo ya betri. 0782906190
 
Option nzuri nunua battery hata tano za hiyo laptop yako, battery moja ikiisha chaji unaweka nyingine.
Nikipigia battery 5 mfn kwa 180k naingekea 900k.Kwa soln aliyopendekeza Chief kule juu,manake ningeweza pata battery kubwa za semi mbili,na nikanunua inverter yenye features nazotaka na hela ikabaki.Plus kumbuka hapo kuna issue ya kuzima na kubadil battery,huwez nambia upo unafanya process ya masaa mawil ambayo haikatishwi eti uirudie tu sbb unabadil battery.
 
Wasiliana na Perfect Infotech International Limited, wanazo power bank kwa ajili ya laptop na matumizi mengine, zina uwezo wa kujump-start gari iwapo ina matatizo ya betri. 0782906190
Hz ndo info nlizokuwa.natamani kuzipata.Ngoja nikawacheck kwa phone.Nikishazifanyia utafiti ntatoa mrejesho
 
Niliwaza hii option nikaona ni less prefferable,usumbufu wa maintenance,petroli n.k,pia nadhan ni expensive na hata running cost yake pia itakuwa juu sbb ya petrol
Nunua solar panel ya 100watts + 100watts dry cell battery + power inverter ya 200watts, tatizo lako litaisha

Mimi nyumbani kwangu sina umeme wa tanesco, natumia the same system for lighting and laptop
 
Nunua solar panel ya 100watts + 100watts dry cell battery + power inverter ya 200watts, tatizo lako litaisha

Mimi nyumbani kwangu sina umeme wa tanesco, natumia the same system for lighting and laptop
Gud suggestion,na pia umenisaidia kukadiria vipimo.Ila sion umuhim wa kununua hzo solar panels wakat naweza pata dc ya kuchajia battery kwa kutumia umeme wa kawaida.What I need is just power ya kunisukuma for 10 hrs wakat kuna tatzo la power regardless huko kwenye battery umewekwa kwa solar au kwa kitu kingine.Bora hiyo hela ya panels nikaitumia kununulia charger au betri nyingine
 
Gud suggestion,na pia umenisaidia kukadiria vipimo.Ila sion umuhim wa kununua hzo solar panels wakat naweza pata dc ya kuchajia battery kwa kutumia umeme wa kawaida.What I need is just power ya kunisukuma for 10 hrs wakat kuna tatzo la power regardless huko kwenye battery umewekwa kwa solar au kwa kitu kingine.Bora hiyo hela ya panels nikaitumia kununulia charger au betri nyingine

fanya cost analysis pia laptop ya i3/i5 ya skaylake ina nguvu hadi mara mbili ya hio i7 yako na kuanzia broadwell kuja skylake laptop zake zinakaa masaa 10 hadi 24

na pia bei zake hazifiki hio 3m zinakuwa around 1.5m au ukitafuta vizuri unapata rahisi zaidi
 
anker wametoa 120,000mah battery inacharge na laptop output zake nzuri

ankpower_01.jpg


bei kuanzia $400

[Review + Deal Alert] A Look At Anker's Newly Released Power Bank - The Powerhouse - Its Highest Capacity Battery Ever With A Whopping 120,600mAh Of Juice
 
nilikuwa najiuliza nitapata wapi kitu kama hii sasa hapa bongo zinapatikana wap au baso hazijafika
lakini hiyo bei nayo mh ! hatari
ni km laki nane hivihivi kibongobongo
lkn kwalaptop yangu 52000mah itasukuma siku km kweri specs zake ni true
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom