Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
 
Et nasikia post kesho

kama umesikia si tufanyeje? unapo posti kitu tumia akali na mawazo chanya hatutaki vitu vya kusadikika kama vipi weka source ili tujue kuwa unauhakika na unachosema "acheni mawazo ya kuambiwa".
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
 
kama umesikia si tufanyeje? unapo posti kitu tumia akali na mawazo chanya hatutaki vitu vya kusadikika kama vipi weka source ili tujue kuwa unauhakika na unachosema "acheni mawazo ya kuambiwa".

Mkuu! Inaonyesha Wazi Umechikizwa Sana Na Suala La Ucheleweshaji Post
 
Jmani Me Sasa! Nimechoka Kulalamika Kila Kukicha Sasa Zitakapotoka Nijulisheni Hata Kwa Sms Namba Yangu Ni 0757601630

Natanguliza Shukran! Kwaherin
 
Aaaaaaaahaaaaaa
nimekumbuka kitu kimoja ndugu wadau hususah tunao subili post
huko tunakoenda kukabiliwa na wadudu aina ya KUNGUNI
Haswa kwa wale watakaopelekwa itg sec
 
Aaaaaaaahaaaaaa
nimekumbuka kitu kimoja ndugu wadau hususah tunao subili post
huko tunakoenda kukabiliwa na wadudu aina ya KUNGUNI
Haswa kwa wale watakaopelekwa itg sec
man hao mdo wazury maana watatusumbua tusilale tukasome........sema dsgn kma mud inakat y kusbiri hzo post....mnaohusika wote namuomba mungu awaondolee hayo mapepo yenu ya uzembe amen
 
mkuu, umejitahidi sana kutia mkwala
sasa mimi kama mwanafunzi ninayetegemewa na ndugu zangu nije kuwasaidia...,na kutokana na hii serikali mbwa koko inayokatalia wanafunzi kwenda shule tutegemee makubwa huku mtaani,binafsi nishaanza kukombakomba vitu vya watu na ninaandaa maandamano mpaka wizara ya elimu na ni kuhusu uzembe unaojitokeza kwa watumishi wake......tumejipanga vijana kama 15 wenye afya nzuri tuu.
Na kama hamtatangaza hizo post kufikia tarehe 25,tunaanza kutembeza MIMBA kwa wasichana wote tunaowaona mbele na PANYA ROAD we are back due to this post delay MJIANDAE.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom