Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
kesho wadau zinatoka
kwa jinsi inavyo onesha umekula maharage usiku huu
hii ni serikali ya viongozi wasio na akili maana hata majukumu yao wanashindwa kuyatekeleza,huwa inatokea najuta kuwa hata mtanzania.......ufisadi nyinyi.......umaskini nyinyi......kuwachinja watu nyinyi.....natamani itokee vita tuchapane kwanza nahisi tutakaa sawa..........Aya sasa na hili la kutanga post nalo mnaona ni shida,kama ni hizo tahasusi mpya si mtangaze alafu msubiri maombi ya wanaohitaji.......ila kiukweli maboa.....mmekaa 2 mnafuga vitambi NDOROBO nyieSerikal imeshindwa kutekeleza majukumu yake hata katika hili jamani..... MUNGU IBARIKI TZ
hii ni serikali ya viongozi wasio na akili maana hata majukumu yao wanashindwa kuyatekeleza,huwa inatokea najuta kuwa hata mtanzania.......ufisadi nyinyi.......umaskini nyinyi......kuwachinja watu nyinyi.....natamani itokee vita tuchapane kwanza nahisi tutakaa sawa..........Aya sasa na hili la kutanga post nalo mnaona ni shida,kama ni hizo tahasusi mpya si mtangaze alafu msubiri maombi ya wanaohitaji.......ila kiukweli maboa.....mmekaa 2 mnafuga vitambi NDOROBO nyie
mkuu, umejitahidi sana kutia mkwala
mkuu, umejitahidi sana kutia mkwala
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3