Sadick Nkinda
Member
- Feb 15, 2014
- 77
- 9
mhhhhh Kweli nime amini GReat mind think alone yani mnabweka utadhani kuna mwaka ambao watu hawakupeleka form 5 post zitatoka tu na muda wa kujiandaa mtapewa mwingi tu haijalishi shule zimefunguliwa au la...kama mna hamu saaana na hako ka form 5 nenda private basi maana mnavyo lalamika mtadhani hao Tamisemi nao wapo jf kuwa watawasikia kuweni na subira madogo