"Hiyo mbona cjaona"aya wakubwa ila wametoa ofa kwa wale wenze2 wa PASS lakn ni kwa wale wa sayansi 2 kama comb yako ya CBG/PCM/PCB ime balance basi jiandae lakn wanataka PASS ya G.P.A 1.3 -1.5.... au download via nacte.go.tz by WILLy pan
"Hiyo mbona cjaona"aya wakubwa ila wametoa ofa kwa wale wenze2 wa PASS lakn ni kwa wale wa sayansi 2 kama comb yako ya CBG/PCM/PCB ime balance basi jiandae lakn wanataka PASS ya G.P.A 1.3 -1.5.... au download via nacte.go.tz by WILLy pan
Nimeshadanganywa sana we hapo unarudia 2.....
Mh hali n ngumu
Kwani mwaka Jana zilitoka tarehe ngap?
17.06.2014 saa 08:14
Dah....!Hao Wapumbavu Mwaka Jana Tarehe 17 Mwaka Huu Had Leo Tar 22 Akuna K2 N Hak Yao Kuitwa Majna Yeyote
Kwa wale wa itg sec A lvl na 0 lvl hufungua pamoja na wanatarajia kufungua trh 8.07.2015
mkimaind sana hazitokiii
achen kiherehere au ni kwasababu mmefaulu
mbona waliopata four hawaulizii post za upolis
Ase mkuu mapatamani uko singida vp mna PCM ?ngoja zitoke
Duh basi blame lazima ziwashukie hicho chama cha mafisadi kwa waluvyotucheleweshea machoko kabisa haw #ccm