nickhubert
Senior Member
- Jun 17, 2015
- 113
- 25
Mmh mara leo mara tarehe 24mara 27
me nshazipata wakuu ila duh, nimefanya kaz kubwa sana mpaka kuzichuka walipo kazificha
Kuchelewa kwa post zenu kunatokana na matatizo yanayojitokeza matumain yetu hadi kufikia 24 june kila mmoja awe amepata post yake so tunajitahidi kuzipeleka posta ili zifike mashuleni kwenu tumepeleka box za shule kadhaa ila shule nyingine bado tunategemea leo tumalize zoezi letu na tukimaliza mapema tutawapa leo leo hizo post zenu ila msiwe na wasiwasi hadi kufikia 24 june naamin kila mmja atakuwa amepata
Nipo ICU Nasubil Post Wakuu!
Unene Nadedile Ukwikala Nalibhugilija Mashikolo Ayo Tutumanaga Galifuma Nanali! Kunguno Ulu Twikala Twagisagilijagano Tudugijisanga Twalekagwa Nukusolwa Hambuhambu Tuhumule Duhu Tulindile Ulishiku Ulo Bhalagafunijaga Tulagabhona Duhu!
Higiko Bhagalu!
hahaaaa, akina sir tembo, cancellor, dr ommy, duuuuu na wengine..... Enzi zileeeee o-level
|
hahahaha mr.awesome umenenaaaaaaa kingine canabis sativa znatembea sana kutwa kukimbizana na mamweraaaa. mazafanta our gvt.
HahahahahahahahHh wenzako wengine wapo mochwari wanazsubiri