had sasa ni cku 10 tu zlizobaki jufikia julai, hiv wanaohucka wana2fikiria kwel ..........! daaah
jomakib bonyeza#kubadil lugha mana hatuelew!
wakuu kuna taarifa nimeipata kwamba kesho tar.21/06/2015 post will be out.GET PREPARED MDAU
Kuchelewa kwa post zenu kunatokana na matatizo yanayojitokeza matumain yetu hadi kufikia 24 june kila mmoja awe amepata post yake so tunajitahidi kuzipeleka posta ili zifike mashuleni kwenu tumepeleka box za shule kadhaa ila shule nyingine bado tunategemea leo tumalize zoezi letu na tukimaliza mapema tutawapa leo leo hizo post zenu ila msiwe na wasiwasi hadi kufikia 24 june naamin kila mmja atakuwa amepata
Source?
source me mwenyewe bhana
VP wenye credit wamepata
me nshazipata wakuu ila duh, nimefanya kaz kubwa sana mpaka kuzichuka walipo kazificha
Hivi zikitoka zinawekwa website ya necta au wapi?