Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Mmmmmmh!
Mwaka huu kazi ipo. Nilikuwa nikiamini post za mwaka jana zilitangazwa trh 18 june kumbe si kweli kwani ktk ipekuzi wangu nimegundua kuwa zilitangazwa trh 17.06 muda wa saa 08:43PM na ndg Mhe,Kassim M. majaliwa(MB)
na kutakiwa kuriport trh 10 jully.
SASA WANAFUNZI KAZI KWET
 
Hi. natafuta mwalimu wa language kwa a_level..niko dar es salaam awe anajua tafadhali.
 
sasa watapeleka chakula bila kujua idadi ya wanafunzi

Idadi imeshafahamika ishu ni kuwa ata wakitangaza rasmi na tukaenda shule tutaenda kula nini,hivyo nadhani wameona bora waeke mambo fresh then uhakika ukiwepo ndo tuende,bila kujua na sis tunataka kufanya maandalizi.
 
wakuu siku post zikitoka na kila mmoja atakapojua shule atakayopelekwa inatakiwa tuje turudi humu jamvini nakumention shule 2lizopangiwa na tahasusi(comb) SOTE NI WAMOJA 2PO KWNY NJIA MOJA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom