Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Mm ninapita tu.
Ila tusiwaze sana at kwamba hawatusikii Inshu kubwa ni je humu kuna muhusika hata mmoja aliyeko kwenye secta husika..
Mm ninachojua jamaa walisha maliza kazi zaman ila wameyaweka had itakapofika siku/trh waliyokubaliana,
so kwa sasa wanaonyesha msimamo wao.
 
Napia usistaajabu kumuona uliyesoma nae na ambaye pengine anandugu ambaye yuko secta husika kwa sasa akawa anakaribia kumaliza baadhi ya topic ww ukidhan anapoteza muda wake.
Halafu ukimuuliza anakwambia post zikitoka tofaut nitabadili comb.
 
Mm ninapita tu.
Ila tusiwaze sana at kwamba hawatusikii Inshu kubwa ni je humu kuna muhusika hata mmoja aliyeko kwenye secta husika..
Mm ninachojua jamaa walisha maliza kazi zaman ila wameyaweka had itakapofika siku/trh waliyokubaliana,
so kwa sasa wanaonyesha msimamo wao.

Ki ukweli selection tayar ila bado tu kutangazwa rasmi.,
 
nataka kuuliza wadau et ukiwa na credit ya 2.4 unaweza kuchukuliwa? alafu comb ni HKL(history-b,kiswahili-b+ na language b+)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom