uncle Bk
Senior Member
- Apr 20, 2015
- 165
- 83
Mm ninapita tu.
Ila tusiwaze sana at kwamba hawatusikii Inshu kubwa ni je humu kuna muhusika hata mmoja aliyeko kwenye secta husika..
Mm ninachojua jamaa walisha maliza kazi zaman ila wameyaweka had itakapofika siku/trh waliyokubaliana,
so kwa sasa wanaonyesha msimamo wao.
Ila tusiwaze sana at kwamba hawatusikii Inshu kubwa ni je humu kuna muhusika hata mmoja aliyeko kwenye secta husika..
Mm ninachojua jamaa walisha maliza kazi zaman ila wameyaweka had itakapofika siku/trh waliyokubaliana,
so kwa sasa wanaonyesha msimamo wao.