ben86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2009
- 264
- 143
mwaka huu hakuna 4m 5 ndugu munaenda chuo tu
Tar 27
mwaka huu hakuna 4m 5 ndugu munaenda chuo tu
wakuu kuna hbr nimeipata jioni hii kwamba post hazifiki tar.20 zitakuwa zimetoka,kwa hiyo GET PREPARED
Nikweli post za kidato cha tano zimetoka?
agizo toka wizara ya elimu; katibu wizara ya elimu prof.sifuni mchome aagiza wanadvance watarajiwa 2we na subira na post ze2 maana ztatoka 2 ila ck ndo haijulikani.
Source Naitaka
Wanafunzi mjue mmetusumbua sana humu jukwaani kila kukicha mnaulizia post ngoja niwaambie kwan kitu kimoja,hakuna mpango unaoenda bila utaratibu majina yenu tumemaliza kuyapanga mwezi uliopita lakini hatukuweza kuyatangaza hadi tarehe iliyopangwa inapofika ambayo ni tarehe 18 june kwahiyo kaeni tayari madam tarehe imefika tutawatangazia tu majina yenu this week
Kama mambo yakienda sawa huenda leo tukawapa post zenu,,jiandaeni
Post izoooo tayariii!!
Me naona unachaguliwa bila shda ila na jinsia nayo itazngatiwa
Wanachaguliwa kuanzia 1.6 Credit kwa mujbu wa Baraza