TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
Wakuu... Kesho tunapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwa... regardless of results, nchi itaendelea kuwepo na nadhani tukisie kidogo baadi ya matukio muhimu
Mimi ntaanza na hali ya fedha, kwa sasa naona wahisani wamepiga pini fulani kwenye GBS na hivyo serikali imelazimika kujipapasa kwueza kulipa mishahara (and a few overheads); kwa hili hongera serikali
Tukimaliza kura kuna mawili
la kwanza lililo obvious in anxiety ya watanzania kwani haijawahi kutokea campaigns kama hizi na mwamko wa hali ya juu toka kwa wapinzani, pia tupongeze kikwete kwa kutoa uhuru huu ingawa kwa kiasi fulani kuna mambumbumbu wa modern life kama TBC waliendelea kujibana (of course vyeo vyao ni vya kupewa, competence ndogo).... hii anxiety, makisio yangu ni kwamba haitatufikisha wkenye vurugu hata majibu yaweje, vurugu zitatokea sehemu chache za mijini
la pili na la maana sana ni kusubiri serikali mpya.... kwangu binafsi hapa ndipo nina wasiwasi
sitegemei chama chochote kwana serikali iliyo strong kwenye kila idara, laki kusema ukweli kama ni chadema ntaomba muwe na serikali ya kitaifa, kama ni kafu pia na kama ni ccm hivyohivyo au kama mtaona haifai, basi toeni mawaziri wote waliolalamikiwa
Pia naombeni mrudishe hadhi ya makatibu wakuu wa wizara na kuwaacha mawaziri wawe kama enzi za mkapa
Je wenzangu mnapredict nini??
Amani? Vurugu? uchumi kukua? whisani kufunguka??
Amen
Mimi ntaanza na hali ya fedha, kwa sasa naona wahisani wamepiga pini fulani kwenye GBS na hivyo serikali imelazimika kujipapasa kwueza kulipa mishahara (and a few overheads); kwa hili hongera serikali
Tukimaliza kura kuna mawili
la kwanza lililo obvious in anxiety ya watanzania kwani haijawahi kutokea campaigns kama hizi na mwamko wa hali ya juu toka kwa wapinzani, pia tupongeze kikwete kwa kutoa uhuru huu ingawa kwa kiasi fulani kuna mambumbumbu wa modern life kama TBC waliendelea kujibana (of course vyeo vyao ni vya kupewa, competence ndogo).... hii anxiety, makisio yangu ni kwamba haitatufikisha wkenye vurugu hata majibu yaweje, vurugu zitatokea sehemu chache za mijini
la pili na la maana sana ni kusubiri serikali mpya.... kwangu binafsi hapa ndipo nina wasiwasi
sitegemei chama chochote kwana serikali iliyo strong kwenye kila idara, laki kusema ukweli kama ni chadema ntaomba muwe na serikali ya kitaifa, kama ni kafu pia na kama ni ccm hivyohivyo au kama mtaona haifai, basi toeni mawaziri wote waliolalamikiwa
Pia naombeni mrudishe hadhi ya makatibu wakuu wa wizara na kuwaacha mawaziri wawe kama enzi za mkapa
Je wenzangu mnapredict nini??
Amani? Vurugu? uchumi kukua? whisani kufunguka??
Amen