Ukizunguka wizarani na kwenye mashirika kuna hawa watu wanaitwa wakurugenzi na mameneja (senior staff)
Hawa watu wameajiliwa kwa mishahara mikubwa sana average 2m ~8m kwa mwezi kama malipo ya mshahara katika majukumu yao!
Lakini cha ajabu kila jukumu la kazi huwa lina posho!
Mfano!
Sasa unajiuliza hizo posho za nini wakati wameajilia kwa kazi hiyo?
Haijulikani mshahara huwa wanalipwa wa nini kama kila jukumu la kikazi wanapeana posho!
Ukiachana na hayo bado wanapewa usafili na hela ya mafuta lakini hiyo haitoishi na madili wanapiga!
Value for money iko wapi hapo?
Nashauri Posho ziondolewe watu watumikie mishahara yao! Mbona watumishi wa chini wanaweza wao inakuwaje wanapeana posho za nini?
Pia iwepo na sheria ya kunyonga watu haraka, ipewe tenda kampuni ya uwakili ili kusaini unyongaji wa watumishi wabovu kwa niaba ya Rais ili iwe fundisho.
Haiwezekani Tukatoboa kwa style hii ya kujaza pipa halafu wengine wanatoboa chini maji yatoke!
HAKUNA NIDHAMU YA FEDHA HATA KITOGO
Hawa watu wameajiliwa kwa mishahara mikubwa sana average 2m ~8m kwa mwezi kama malipo ya mshahara katika majukumu yao!
Lakini cha ajabu kila jukumu la kazi huwa lina posho!
Mfano!
- Kuandaa report (lazima walipane posho na menu)
- Kupitia report (posho na menu)
- Kujadili mpango kazi (posho na menu)
- Kuchambua tenda (posho na menu) n.k
Sasa unajiuliza hizo posho za nini wakati wameajilia kwa kazi hiyo?
Haijulikani mshahara huwa wanalipwa wa nini kama kila jukumu la kikazi wanapeana posho!
Ukiachana na hayo bado wanapewa usafili na hela ya mafuta lakini hiyo haitoishi na madili wanapiga!
Value for money iko wapi hapo?
Nashauri Posho ziondolewe watu watumikie mishahara yao! Mbona watumishi wa chini wanaweza wao inakuwaje wanapeana posho za nini?
Pia iwepo na sheria ya kunyonga watu haraka, ipewe tenda kampuni ya uwakili ili kusaini unyongaji wa watumishi wabovu kwa niaba ya Rais ili iwe fundisho.
Haiwezekani Tukatoboa kwa style hii ya kujaza pipa halafu wengine wanatoboa chini maji yatoke!
HAKUNA NIDHAMU YA FEDHA HATA KITOGO