Nadhani CCM wakati mwingine hawafikirii "rationally" maana wabunge wa upinzani wametoa pendekezo kuwa ile sitting allowance ya kwenye vikao iondolewe na ibakie posho ya kujikimu. Hii ni hoja inayofikirika na inaingia masikioni. Tatizo la wabunge wengi wa CCM ni kwamba bunge ni sehemu ya kuchuma fedha na siyo kutatua kero za wananchi. Wabunge wakipitisha hivyo katika kanuni zao inakuwa ni rahisi kuwabana pia viongozi wa serikali kuondoa hiyo sitting allowance katika mikutano yao ambayo wamepewa nafasi hizo ili kuweza kukaa katika vikao mbalimbali kuamua au kupanga mamba kwa niaba ya umma wa Watanzania.
Katika hoja za msingi tuache ushabiki wa kisiasa. Kwa Tanzania politics is the highly paying job bila mtu kufanya kazi! No performance review from time to time rather wananchi wenyewe during elections ambayo nayo it is rigged big times!!!!
Katika hoja za msingi tuache ushabiki wa kisiasa. Kwa Tanzania politics is the highly paying job bila mtu kufanya kazi! No performance review from time to time rather wananchi wenyewe during elections ambayo nayo it is rigged big times!!!!