bro/sis hujui utamu wa posho serikalini hasa kwa wafanyakazi wa chini, ivi umemaliza kadigrii kako afu unalipwa 315,000 kwa mwezi utaweza ishi? posho ndio zinazo wanyanyua asikwambie mtu, unakuta ukiotea dili la kwenda nje unalipwa 65,000 per diem na siting ya hivho kikao kama 20 hivi so jumla unalamba 85 kwa siku ukipiga siku kumi tu una laki 8, sasa anaesema zifutwe namshangaa...
hao wabunge ndo wapunguziwe na sio kufutiwa kabisa, mimi ni mwanachama mtiifu wa chadema lakini kwa hili wenzangu wanakosea kidogo, ndo nimeanza kuona sasa.