Hellow.....
Wapendwa wa JF Dar Wing napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa JF Dar Wing kwa ushirikiano mlionao. Hakika ni mfano wa kuigwa na mkiendelea hivyo mtawafunika JF Arusha wing.
Pili naomba niwaombe msamaha kwa kuja kwa muda mfupi na kuondoka kimya kimya ndani ya White Party kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.
Nilifurahi sana kuwaona baadhi member wenzangu tunaoshinda jukwaani tukipigana vikumbo..
Nilifurahi pia kuwaona akina
Paloma,
marejesho,
Jiwe Linaloishi,
Maxence Melo, mike mushi,
Ruttashobolwa,
lara 1,
mwaJ na wengine ambao sikuwafahamu kwa haraka. Bila kuwasahau
Madame B, mzee
Mtambuzi (ingawa ulinichunia wakati uliniahidi utakuwa nami) na my daddy
watu8.. Hakika nilifurahi saaaaaaana!
Kwa wana JF Lake Zone, kilichofanyika JF Dar Wing kwa kweli kilipendeza saaaana. Ni aibu saaana kwetu sisi hasa JF Rock City tumeshindwa kujipanga tukakutana hata kwa dakika chache... Natoa wito kwenu ninyi. Kwanini tusijipange tukakutana???? Tukiamua tunaweza!!!!!!