ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Ubarikiwe sana kipenzi changu...naamini nanyi mnaweza ila nia ndio haijawa thabiti.
katulia..
Ubarikiwe sana kipenzi changu...naamini nanyi mnaweza ila nia ndio haijawa thabiti.
Weeeeeee charminglady uishie hapo hapo. Pamoja na kwamba sisi ni ndugu ila hapo kwa my love mwaJ unataka kuvuka mipaka.
Kama ulikuwa hujui huyo ni mke wa mtu, she is married to the only one Mwita Maranya!
mbona jana ukanichunia? sikukuona ujue! japo siwezi kukulaumu, nilichelewa kufika!
Ha ha haa charminglady wahamasishe kwa baandiko km hili.
Rocky City Chocolate party/ gathering
Tuko kwenye maandalizia ya rocky city chocolate party itakayo bamba ile mbayaaaaaa.
Wana rocky city na jf members wote tunaomba ushirikiano wenu na mnakaribishwa, yafuatayo yatakuwepo
1. Mnada wa ngombe
2. redio za kawaida lakini zitauzwa kuwa mamilioni ya fedha.
3. wadada wenye weupe wa asili wazuriiii
4. dhahabu kutoa bhuliyanhuu.
5. Ngoma ya chagulaga
6. Baiskeli zitakuwepo za kumwaga
7. Menu kuu itakuwa UGALI
Party hii itafanyika kati sehemu zifuatazo Kirumba stadium/tilapia/ mwanza hotel/saa nane island/ nyegezi/ nyanza grass.
Fanyia kazi hili bandiko utanambia.
Kila la kheri charm lady.
Ha ha haa charminglady wahamasishe kwa baandiko km hili.
Rocky City Chocolate party/ gathering
Tuko kwenye maandalizia ya rocky city chocolate party itakayo bamba ile mbayaaaaaa.
Wana rocky city na jf members wote tunaomba ushirikiano wenu na mnakaribishwa, yafuatayo yatakuwepo
1. Mnada wa ngombe
2. redio za kawaida lakini zitauzwa kuwa mamilioni ya fedha.
3. wadada wenye weupe wa asili wazuriiii
4. dhahabu kutoa bhuliyanhuu.
5. Ngoma ya chagulaga
6. Baiskeli zitakuwepo za kumwaga
7. Menu kuu itakuwa UGALI
Party hii itafanyika kati sehemu zifuatazo Kirumba stadium/tilapia/ mwanza hotel/saa nane island/ nyegezi/ nyanza grass.
Fanyia kazi hili bandiko utanambia.
Kila la kheri charm lady.
Mtani Mwita Maranya mbona uliingia mitini?
Samahani sana umura o mweito.... Nilikuwa namuuliza tu!!!!!
Ulinitambua na ukanisalimia sana mwaJ.... Wakati twaingia ulikuja nyuma yetu ukatupita ukatusalimia na ukaingia kabla yetu....
Nilipenda tabasamu lako... Je utapenda kuwa wifi yangu make kakaangu hajaoa bado!!??
Umeona??alichofanya si kizuri
Ha ha ha haaaaaa! Basi ni kwa vile hatukuongea maana sie tulikuwa wa kwanza kuondoka. Kuhusu uwifi mbona umechelewa shosti? Ila tunaweza kuwa mawifi kwa kuwapa mdogo wangu.
Ambe musubhati charminglady nkwigule mono bhabha.
Sitarajii kusikia umeshindwana na wifi yako mwaJ kwani nimeambiwa mawifi wa siku hizi hamna magubu!
Ha ha ha haaaaaa! Basi ni kwa vile hatukuongea maana sie tulikuwa wa kwanza kuondoka. Kuhusu uwifi mbona umechelewa shosti? Ila tunaweza kuwa mawifi kwa kuwapa mdogo wangu.
Sasa hapa ndipo patamu. Huo mpambano wa kumpata mdogo wako utakuwa mkali sana.
Vin Diesel ameshaanza kutuma salamu. Dadangu charminglady nae anatuma salamu kwa niaba ya mdogo wetu!
Binti yangu Zion Daughter amenisimulia ulivyokuwa umelipuka si kitoto. Pia amekusifia ulivyokuwa unamuonyesha bashasha muda wote wa shuhuli!
Sasa hapa ndipo patamu. Huo mpambano wa kumpata mdogo wako utakuwa mkali sana.
Vin Diesel ameshaanza kutuma salamu. Dadangu charminglady nae anatuma salamu kwa niaba ya mdogo wetu!
Binti yangu Zion Daughter amenisimulia ulivyokuwa umelipuka si kitoto. Pia amekusifia ulivyokuwa unamuonyesha bashasha muda wote wa shuhuli!
Hahaaaaa.... Tangiapo wewe ni wifi yangu kwa Mwita Maranya!!!!!
katulia..