kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,221
In his dreamsand this is the next president of the united republic of Tanzaniaaaaaaaa.
In his dreamsand this is the next president of the united republic of Tanzaniaaaaaaaa.
Yeye anadhani Nchi hii haitakuwa na amani as long ponda yuko ndani, anajidanganya.ipo siku kichapo cha kweli kitatembezwa kwa yeyote anae leta vurugu za kidini ndio wajue serikali ipo.kapoteza credibility yake kabisa hususan kwa wasomi
kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! teh! hapo pekundu ndio matokeo ya elimu ya madrassaWe tukana tokwa na mapovu lakini ukweli utabaki palepale, mimi sinachama na wala sio mdini kama unadhani lakini kwa commenys za humu sasa hivi watu hawashabikii kisiasa bali kidini kwahiyo vyovyote utakavyosema but ukweli utabaki palepale
Mkuu dudus achana na huyu kalewa pilau la jana ondoka zako asije akakutapikia mikachumbari ya vitunguuHii ndiyo shida ya ilmu madrasatul inayosababisha kuendeshwa na hisia na mihemuko ya kidini; mimi nimesema nini (red hapo chini) na wewe unauliza nini hapo juu? Very low thinking capacity kumbe ndio maana hatuelewani! Sina muda wa ku-argue na kiumbe aina yako.
chadema kwa ni kanisa wasingeweza kuwatetea waislam ndio mana tamko lao lilikaa kinafki nafki
nyie wakristo siwalaumu sana kwa hayo mnayoyasema coz hamjui myasemayo wala mnayotenda, alieanzisha udini tanzania marehemu ngedere laanatullah yupo kaburini sasa hv anapoke kichapo chake daily, sisi waislamu hatuna chama tunachofungamana nacho coz hakuna chama chochote tanzania chenye sheria za kiislam, ila nyinyi chama chenu cha kanisa aka chadema kipo kuwatetea, na msitake kutupumbaza kuwa eti kikwete mdini kwetu sisi waislam hana mchango zaidi ya kutalii nchi mbalimbali na kushangaa shangaa tu. Ila ngoja niwape siri moja karibuni tunaanzisha chama chetu muslim brotherhood, naam kile kilichochukuwa nchi egypt na kinaendelea kuenea duniani sasa hapo tutakuwa na chama cha dini kabisa tuone kama mtatuzuia, soon come nd no one can stop us now
Wewe umedhihirisha ni mpumbavu sana kwa kuandika comment kama hii.Mungu akusamehe bure.
Prof Lipumba anatafuta legitimacy kwa Waislaam wa aina ya Ponda. Amegombea mara kadhaa Urais wa JMT na kura zimekuwa zikipungua mwaka hadi mwingine. Nasikia mwaka 2015 anagombea tena hivo anatafuta huruma ya Waislaam. Kauli kama ile ya juzi inampa umaarufu kidogo. NChi hii tunakoelekea kila mtu anatafuta pa kushika baada ya kuishiwa sera. Prof wetu muflis sasa hivi kisiasa.Binafsi sikuamini kauli iliyotolewa kama ni ya Prf Lipumba kweli.hivi kiongozi kama Lipumba anaweza kuwatetea wahalifu waliotenda makosa ya wazi wazi!!?.hawa ndio viongozi wanaotaka kuja kuwa raisi baadae halafu utegemee Tanzania itaendelea thubutu!
Maadui wa Uislaam wanafananaje Ritz? Mwaka 2015 hatutachagua mtu kwa DINI yake.Hivi nyie Pro-Chadema JF mbona mnawachukia sana Waislam wamewafanya nini, nimepitia michango yenu wale wote wanaosifia Chadema ndio maadui wa Uislam...tutakutana kwenye box la kura mwaka 2015.
hivi nyie pro-chadema jf mbona mnawachukia sana waislam wamewafanya nini, nimepitia michango yenu wale wote wanaosifia chadema ndio maadui wa uislam...tutakutana kwenye box la kura mwaka 2015.
kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! teh! teh! teh! hapo pekundu ndio matokeo ya elimu ya madrassa
...du, kumbe hiri geshi ra borisi harina ushirikiano na serikari!!Polisi wanajipalilia mkaa na kuiweka Serikali kwenye wakati mgumu sana.
Hatapewa kura kwa Uzanzibari wake. Tanganyika na Zanzibar zimekuza tofauti zao kiasi hicho. Hii ni kwa taarifa yako mkuuand this is the next president of the united republic of Tanzaniaaaaaaaa.