Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,771
chadema imekuwa chama cha ukiristo mno sasa, kilivyoanza nilihamasika na nilitamani kiungane na CUF ili tuing'oe CCM madarakani ila ss hv ni wazi kuwa mnasimamia kanisa na kiongozi yoyote wa kiisalm ni mdini ila wa kikristo ndio mwanademokrasia, tunapokwenda huku sipo, ila kama ni hivyo mnataka kanisa ndio litawale nchi basi ingizeni chama rasmi cha kanisa na sisi tutaingiza cha sheria na mahakama za kiislam, halafu kwa mujibu wa sensa yenu ile ya TBC mnaaminishwa kuwa nyinyi ndio wengi ila sote wenye akili timamu tunajua wengi ni kana nani, na kwa taarifa yenu tu khilafa will be back, i am sure u can read the signs egypt, mali, nigeria, middle east, somalia, kenya, tanzania, asia, russia, europe and america. Nd sisi hatuna chuki na wakiristo wala wasiokuwa waislam bali nyinyi wengi wenu mmepandikizwa chuki, soon we will rule the world peacefuly
maneno yako ni sawa na kuota uko ndani y coffin kumbe umelala kitandani nakuja kuamini kwamba hamna tofauti kati ya mwislam aliyekaa darasani au laa wote mawazo ya kijiweni eti mtatawala dunia wait and see mkuu,hamna kichwa chakutawala dunia kwa mawazo haya heri yake mohamed mtoi anayejua kutumia elimu aliyoipata
Last edited by a moderator: