Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

Hivi nyie Pro-Chadema JF mbona mnawachukia sana Waislam wamewafanya nini, nimepitia michango yenu wale wote wanaosifia Chadema ndio maadui wa Uislam...tutakutana kwenye box la kura mwaka 2015.

Shut up your mouth!
 
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.

Source:Mwananchi.

Kama huyu ni kiongozi wa Waislam, mbona tunachanganywa kila leo?

Kuna wanaosema UISLAMU haufundishi fujo na chuki - Ponda sio Muislamu

Kuna wanaosema Ponda ni kiongozi wa Waislamu - Ponda aachiwe huru

Kuna wanaosema Ponda hana hatia ila anachukiwa bure tu kwa kuwa yeye ni Muislamu - Picha za video zinamuonesha Ponda akihamasisha wenzake kuvunja uzio wa mali ya mtu mwingine (Uislamu unaruhusu kuvamia mali ya mtu mwingine)

Kuna wanaosema Ponda hahusiki na machafuko ya Mbagala - Picha ya video inamuonesha Ponda akiwaambia Waislamu nchi nzima wadai haki zao ikibidi hata kwa kuvunja sheria.

Huyu mwenye kauli hizi ni yule yule aliyesema vijana wananunuliwa viroba waandamane. Ama kweli akili nzuri ukiwa nazo. Nashukuru leo kujua kuwa Ponda ni kiongozi wa Waislamu na bila shaka yale ayafanyayo ndio muongozo wa dini yao
 
nyie wakristo siwalaumu sana kwa hayo mnayoyasema coz hamjui myasemayo wala mnayotenda, alieanzisha udini tanzania marehemu ngedere laanatullah yupo kaburini sasa hv anapoke kichapo chake daily, sisi waislamu hatuna chama tunachofungamana nacho coz hakuna chama chochote tanzania chenye sheria za kiislam, ila nyinyi chama chenu cha kanisa aka chadema kipo kuwatetea, na msitake kutupumbaza kuwa eti kikwete mdini kwetu sisi waislam hana mchango zaidi ya kutalii nchi mbalimbali na kushangaa shangaa tu. Ila ngoja niwape siri moja karibuni tunaanzisha chama chetu muslim brotherhood, naam kile kilichochukuwa nchi egypt na kinaendelea kuenea duniani sasa hapo tutakuwa na chama cha dini kabisa tuone kama mtatuzuia, soon come nd no one can stop us now

Hatuna muda wa kumchukia mtu aliyeko nyuma yetu. Sisi tupo bize na ujenzi wa vyuo na shule, karibuni msome

Mpango umeshaingia dosari kwani kiongozi wenu tayari yupo ndani na amenyolewa ndevu zake kiasi sasa ukimuangalia utafikiri mtu wa maana. Tafuteni muarabu mwingine, huyo Fareed ana matatizo ya akili
 
Mbona mnaongea kishabiki, kwani CDM si walisema ana haki ya dhamana. Udini utawaweusha.
 
Kama huyu ni kiongozi wa Waislam, mbona tunachanganywa kila leo?

Kuna wanaosema UISLAMU haufundishi fujo na chuki - Ponda sio Muislamu

Kuna wanaosema Ponda ni kiongozi wa Waislamu - Ponda aachiwe huru

Kuna wanaosema Ponda hana hatia ila anachukiwa bure tu kwa kuwa yeye ni Muislamu - Picha za video zinamuonesha Ponda akihamasisha wenzake kuvunja uzio wa mali ya mtu mwingine (Uislamu unaruhusu kuvamia mali ya mtu mwingine)

Kuna wanaosema Ponda hahusiki na machafuko ya Mbagala - Picha ya video inamuonesha Ponda akiwaambia Waislamu nchi nzima wadai haki zao ikibidi hata kwa kuvunja sheria.

Huyu mwenye kauli hizi ni yule yule aliyesema vijana wananunuliwa viroba waandamane. Ama kweli akili nzuri ukiwa nazo. Nashukuru leo kujua kuwa Ponda ni kiongozi wa Waislamu na bila shaka yale ayafanyayo ndio muongozo wa dini yao

na bila shaka yale ya mapadri kulawiti watoto na kuruhusu watu wa jinsia moja kuingiliana ndio muongozo wa dini yako
 
Hatuna muda wa kumchukia mtu aliyeko nyuma yetu. Sisi tupo bize na ujenzi wa vyuo na shule, karibuni msome

Mpango umeshaingia dosari kwani kiongozi wenu tayari yupo ndani na amenyolewa ndevu zake kiasi sasa ukimuangalia utafikiri mtu wa maana. Tafuteni muarabu mwingine, huyo Fareed ana matatizo ya akili

hatutaki elimu ambayo watoto watakula vinyesi na kupakatana wenyewe wanaume kwa wanaume na wanawake kwa wanawake hii civilization yenu ss hapana
 
Maadui wa Uislaam wanafananaje Ritz? Mwaka 2015 hatutachagua mtu kwa DINI yake.

WildCard,
Hakuna anayechagua mtu kwa DINI sisi waislam itakuwa na ndio nafasi yetu kupambana na wale wote wanaopamba na waislam.

Mfano mdogo kwako wewe unaowasemea waislam eti waiheshimu Bakwata imewekwa kisheria.

Mkuu saizi uwanja ni wenu tutakutana mwaka 2015 kwenye box la kura.
 
Last edited by a moderator:
na bila shaka yale ya mapadri kulawiti watoto na kuruhusu watu wa jinsia moja kuingiliana ndio muongozo wa dini yako

Sijaona ukijibu hoja badala yake umeleta mambo yasiyokuwepo. Ni vyema ungetoa mtizamo wako je kwa yale aliyoyafanya Ponda ahesabiwe kama muislamu au kama mwovu mwingine?

Suala la watoto kulawitiwa halifanywi na mapadre tu imethibitika ni vitendo vya kawaida tu kutokea kwenye madrassa kote duniani. soma hapa uone hata hapa nyumbani yapo na hata kule Kibada na Dodoma mambo haya yametokea mwaka huu huu. Soma hapa pia

Ningezikubali shutuma zako endapo padre angebaka halafu Kanisa lisimame kumtetea. Kuna tofauti kubwa ya hoja hizi mbili kama una akili utanielewa. Mimi sikusema Ponda anatekeleza Uislamu kwa kuiba, kuvunja na kuhatarisha amani, lkn unataka nielewe nini ikiwa anakuwa termed as Islamic Leader na the so calles Muslims wanataka aachiwe kwa msingi huo?

Jibu hoja, matusi hayajengi
 
Nadhani Wafuasi wengi wa Chadema wamekuwa Pro Church Interests zaidi kuliko Tanzania na Watu wake!.. Ngoja Tuone watafika wapi na Agenda hii!.
 
hatutaki elimu ambayo watoto watakula vinyesi na kupakatana wenyewe wanaume kwa wanaume na wanawake kwa wanawake hii civilization yenu ss hapana

Haya unayoweka hapa sasa ni mambo ya kijinga. Kama unataka kuona wakina nani wanapakatwa basi Zanzibar should be your destination. Kwa hapa Dar, watoto wa kiarabu koko wanaoishi Magomeni, Kinondoni na Kariakoo ndio wanaongozwa kwa kupakatwa ili wanunuliwe Baja na mabaloon na waarabu. Wote wana passport na shughuli zao Saudia tunazifahamu
 
huyu jamaa hana lolote, hana uchungu na nchi hii, anataka jamaa aachiwe ili ahamasishe maandamano watu wauawe ndo anapata rahaaaaaa! ashindwe alegeee......!
 
WildCard,
Hakuna anayechagua mtu kwa DINI sisi waislam itakuwa na ndio nafasi yetu kupambana na wale wote wanaopamba na waislam.

Mfano mdogo kwako wewe unaowasemea waislam eti waiheshimu Bakwata imewekwa kisheria.

Mkuu saizi uwanja ni wenu tutakutana mwaka 2015 kwenye box la kura.
BAKWATA ipo kisheria ndio. Ndio maana inamiliki mali. Inaendesha IBADA za KIISLAM kitaifa kama jana kule Mwanga. Nikwambie jambo moja Ritz: Mkifanikiwa kuivunja BAKWATA hamtaweza kuunda umoja kama huu nchi hii. Waislamu ni ndugu zangu, ni shemeji zangu, ni majirani na marafiki zangu wakubwa. Nawafahamu. Sio wamoja kiivyo. Hawawezi kuunda chombo cha pamoja kama ilivyo BAKWATA ambayo ina uongozi wa wilaya, mkoa hadi TAIFA.

Hata hivyo, KATIBA na sheria za NCHI haziwakatazi kuunda umoja mwingine mbadala wa BAKWATA. Kwa nini mnang'ang'ana BAKWATA ife kwanza au inyang'anywe mali ilizonazo? Sifurahii "ndoa" ya BAKWATA na CCM na serikali yake, lakini chombo hiki kipo kisheria kama ilivyo TEC, CCT, PCT na vingine. Dawa sio kuiua BAKWATA. Dawa ni kuanzisha chombo kingine mbadala.
 
sisi waafrika dini yoyote kutoka nje haitufai tuwe kama Kingunge nchi itakuwa salama, tutaweza kulala vizuri bila makelele ya saa, kumi, tutapunguza watanzania vilizi (walokole) tutaondoa tabaka la kubaguana kati ya wala nguruwe na wasiokula. biashara zitaongeza tija kwani siku zote zitakuwa siku za kazi, yaani ibaki kuwa ukikamata hela nyingi ndio sikukuu yako, serikali haitakuwa likizo, kila siku mapato tu.
 
Sijaona ukijibu hoja badala yake umeleta mambo yasiyokuwepo. Ni vyema ungetoa mtizamo wako je kwa yale aliyoyafanya Ponda ahesabiwe kama muislamu au kama mwovu mwingine?

Suala la watoto kulawitiwa halifanywi na mapadre tu imethibitika ni vitendo vya kawaida tu kutokea kwenye madrassa kote duniani. soma hapa uone hata hapa nyumbani yapo na hata kule Kibada na Dodoma mambo haya yametokea mwaka huu huu. Soma hapa pia

Ningezikubali shutuma zako endapo padre angebaka halafu Kanisa lisimame kumtetea. Kuna tofauti kubwa ya hoja hizi mbili kama una akili utanielewa. Mimi sikusema Ponda anatekeleza Uislamu kwa kuiba, kuvunja na kuhatarisha amani, lkn unataka nielewe nini ikiwa anakuwa termed as Islamic Leader na the so calles Muslims wanataka aachiwe kwa msingi huo?

Jibu hoja, matusi hayajengi

ponda hajachoma kanisa, ponda kaenda kuondoa dhulma ya bakwata ilioanzishwa na ngedere nd kanisa mbona ndio linalofungisha ndoa mashoga
 
and this is the next president of the united republic of Tanzaniaaaaaaaa.

Kweli TZ kuna viongozi, eti naye huyo anagombea urais-waislamu wataua watu akiwa rais. Hopeless presidential aspirant!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lipumba kumbuka kwamba mojawapo za shutuma ni kuwa chama chako cha cuf ni cha udini,now you are showing your true colors,maneno na matendo ya Ponda kweli hastahili?Ni kwa chama cha wajinga tu ambako utakuwa kila baada ya miaka mitano unagombe urais
 
ponda hajachoma kanisa, ponda kaenda kuondoa dhulma ya bakwata ilioanzishwa na ngedere nd kanisa mbona ndio linalofungisha ndoa mashoga

Kama Ponda hakuchoma kanisa, basi usiwe na wasiwasi hilo litathibitika. Yawezekana hufahamu maana ya uchochezi. Ujumbe wake kwa Waislam ulikuwa ni kuwahimiza waislamu kuvunja sheria za nchi kwa hiyo hapa anahusika kwa minaajili hiyo. Nafikiri unakumbuka vyema kuwa ni Ponda huyo huyu ndio alisema Mufti ang'olewe na kuchinjiliwa mbali. Sasa tumia muda mwingi kulaumu watu wengine badala ya kujitafakari upande wako

Kwa mimi Mkatoliki, ukiniambia habari za ndoa za jinsia moja, hayo nitashindwa kuyabishia. Nitayaacha kama yalivyo kwa kuwa Kanisani kwetu hayapo na si msingi wetu. Kila dini na dhehebu zina taratibu zake na ndio maana unaona wengine jana walikuwa katika jaribio la kufufua mwili.

Wengine wameenda mbali zaidi kiasi dini yao inaruhusu KUPIGA PUNYETO au hata KUILALA MAITI YA MKEO ili mradi tu iwe haijapoa. Sasa kwa mifano hii unaweza kuona kuwa swala la ngono lina wenyewe lakini si Wakatoliki. Hapo unaweza kuona kuwa tuna kila umuhimu wa kurudi kwenye mada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom