Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Mara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!
Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.
Inauma sana!
Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.
Inauma sana!