Kuna kunywa kishkaji, kuna kulewa na kukosa staha. Sasa mke na mama mwenye watoto kadhaa unapiga ulabu hadi unashindwa kutawala mwili si hatari hiyo!!Tatizo mnadhani kila anaekunywa anavunja heshima mbele za watu
Kikubwa pombe uimuduKuna kunywa kishkaji, kuna kulewa na kukosa staha. Sasa mke na mama mwenye watoto kadhaa unapiga ulabu hadi unashindwa kutawala mwili si hatari hiyo!!
Sisi tuliojiingiza huko tunawafahamu vizuri watani zetu, yaani vijana wameharibika kisa ulabu.
Hata Mimi ningekuwa men ningeoa mchaga..potelea pote...Ila wanaume wakichaga kale kaudhaifu sijui kma bado kapo![]()


, wanaume wa kichaga hawapo romantic kabisaaaKwa hiyo wadada wa kiislam na hawanywi pombe,dogo tembea uoneWanaongoza kunywa pombe n wanawake wakichaga....vidada vya chuo na non Muslim tena mchana kweupe bila hata haya.
, wanaume wa kichaga hawapo romantic kabisaaa
Hii ni kweli kabisa.Pole sana, wadada wa kichaga wanaongoza kwa kuolewa
😆😆😆😆😆kunywa kwao pombe wewe kuna kuhusu nini...?
maana umbea mwingine hauna maana kwakweli
yani unaacha kuihudumia familia yako kwa kutafuta fedha kwa juhudi unakuja kutuletea umbea wa kitoto hapa.
Yani kumuelewa mwanamke ni kazi sana aiseedemi wewe!.. ila tuseme kweli wanajua kuzichanga I lov that spirit( sema hako kauvivu kakutojua kucare Sasa dah)....Sasa men wa kisukuma hataki kukaa mbali na mkewe kisa wivu...sijui mtakula huo wivu?
Ah tunaeleweka Sana tu...Yani kumuelewa mwanamke ni kazi sana aisee
Mkuu Abiola bar haiko Buza bali ipo makangaraweWakati naishi buza mid 2000s nikua nanunua mbege hapo abiola bar moja inaitwa Cheka nao !!!!!kila jumapili hahaaahaaa mbege oyeeeeeeeeeee
.... sometimes akikupenda anakuoa yeye kama unajivutavuta bila sababu oooh sina chumba, ohhh sina sijui nini anakuweka ndani halafu kama mahari anapiga mzigo anakulipia. Wachaga ha ha aha. Nimeshuhudia hii kwa jamaa zangu wawili hivi.Pole sana, wadada wa kichaga wanaongoza kwa kuolewa
Safi kbsaisee yule dada nilimpa hela ya chakavu akaikataa,kesho akanipa bill ya bia 20k