usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,092
Dhaaa kisesei ilikua Kali sana kipindi hicho Ila now imeisha cjui ndo kusema kila zama na wakat wake ama nn maana nowMi ni mchaga nakunywa pombe dada zangu nao vile vile,wazazi hawakua wakitugombeza bali tu walikua wanashauri tusitumie pombe kali mno,bibi babu walikua wanatupa mbege na busa kuna kipind nikaenda kijiji bibi akanipa mbege nikakataa alikasirika sana coz zamani nilikua naipenda mno. Babu (R.I.P) kafariki kwa kansa ya koo kwasababu ya pombe kali sana alikua anakunywa mpka wakampa jina la iyo pombe(kiseisei)
Kumejaa pombe zingne nyingi sana my hata hazielewek


