Pombe na mabinti wa kichaga

Pombe na mabinti wa kichaga

Tatizo maadili kaka...hawazingatii sana swala la maadili katika malezi ya watoto, na unakuta ni wadangaji hatari...
 
1595706889954.png
 
Mara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!

Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.

Inauma sana!
Sasa wanakunywa wao, halafu unaumia wewe. Kiherehere au?

Pilipili ya shamba inakuwashia nini?
 
demi wewe!.. ila tuseme kweli wanajua kuzichanga I lov that spirit( sema hako kauvivu kakutojua kucare Sasa dah)....Sasa men wa kisukuma hataki kukaa mbali na mkewe kisa wivu...sijui mtakula huo wivu?
Hao wakipata pesa za mavuno ya mpunga wanahama nyumbani,anarudi siku zimeisha mfukoni wao ni kula,pombe na wanawake
 
Kwa kweli kama kwetu Rombo yani watu wanakunywa pombe balaa, vijana wengi wamechoka sababu ya pombe.
 
Ww unaehudumia familia vizuri kwa nn unapenda kusoma habari za kimbeya hapa jf.

Punguza umbeya mhando
kunywa kwao pombe wewe kuna kuhusu nini...?
maana umbea mwingine hauna maana kwakweli
yani unaacha kuihudumia familia yako kwa kutafuta fedha kwa juhudi unakuja kutuletea umbea wa kitoto hapa.
 
Hadi mtu anaitwa mzee wa kiseisei! Huwezi kumtambikia shetani bila pombe. Sasa hao ni wazee wa matambiko, huwezi kutambika bila kuonja maji ya bwana wako ayapendayo. Ndiyo maana huko wokovu hakuna, ukiona mchaga kaokoka anaekti tu!
 
Haiwezekani ukanywa na ukawa sawa na vile hukunywa( kiheshima). No big no.
Sijui heshima ipi unazungumzia,.mana pombe si unakunywa umechill mnakula and stuff ,vurugu za nini?.

Ama labda umeijulia pombe ukubwani/za ofa hizi ndo zinawaumbua malimbukeni

Pombe inataka utulivu...pombe haitaki pupa...slowly tu mbona unaenjoy bila kuvunjiana heshima na mtu

km unajielewa na umetumia muda; by now tyr unajua vinywaji vyako ni a,b,c na d...hunywi tu pombe yoyote usioijua

na unajua ur limits mfano sizidishi say chupa 5/glass 4 nk

Na kama nikizidisha nifanyeje...say unakunywa maji tu kudilute nk

Kila kitu kina taratibu zake jmn na kila mtu ana mwili wake..usije linganisha maini ya mchaga na ya kwako!! Mana utaanguka ila ye macho makavuu😅😅
 
Back
Top Bottom