Pombe na mabinti wa kichaga

Pombe na mabinti wa kichaga

Mara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!

Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.

Inauma sana!
kule kwetu zamani mtoto akili Lia anapewa pombe alale
 
Sisi home Rombo way back nakumbuka nipo primary school mshua akinunua bia lazma aniekee kdg kwny kikombe nikawa nawaza kichwani kuwa siku lazma ninywe chupa nzima kama yeye...

Ndio ikawa hvo
 
Yani bia wagonge wao kuumwa uumwe wewe?

Usipokuwa makini hata wakitiwa mimba mtoto tumboni utabeba wewe.
 
Mi ni mchaga nakunywa pombe dada zangu nao vile vile,wazazi hawakua wakitugombeza bali tu walikua wanashauri tusitumie pombe kali mno,bibi babu walikua wanatupa mbege na busa kuna kipind nikaenda kijiji bibi akanipa mbege nikakataa alikasirika sana coz zamani nilikua naipenda mno. Babu (R.I.P) kafariki kwa kansa ya koo kwasababu ya pombe kali sana alikua anakunywa mpka wakampa jina la iyo pombe(kiseisei)
Duh!!!
 
Kuna kunywa na kugigida! Ila manzi anaye kunywa raha sana aisee! Hata siezi elezea hapa.
 
Mara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!

Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.

Inauma sana!
Nimedoma darasa la kwanza Hadi la Saba, ninavyorudi kula mchana, mama alikuwa ananiwekea chupa ya Ulanzi na chakula. Nakula ugali nashushia na Ulanzi mtogwa narudi Shule. Mara nyingine nakunywa na wa kwenye mtungi pia, kwa mrija.

Sioni Cha ajabu hapo.
 
Back
Top Bottom