Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,301
- 51,949
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈLe promo...jisifie mwaya maisha ndo haya haya
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈLe promo...jisifie mwaya maisha ndo haya haya
Ila wazaramo wana laana sio bure, hivi watoto wa kike wa kizaramo wanapata wapi ujasiri wa kutembea uchi wa mnyama barabarani ?Wazaramo naonaga mnavyochezaga mkiwa uchi na zile ngoma zenu za singeli mbele za watoto wenu mnamwaga ladhi
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Nasema kweli daima...fitina kwangu mwikoππMsema ukweli ni mpenzi wa Mungu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Ha haa sawa sawa mkuuTuko busy kutafuta,romantic muende kanda maalum![]()
Lete warii sisi ni wana wa israelHa haa sawa sawa mkuu
kule kwetu zamani mtoto akili Lia anapewa pombe alaleMara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!
Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.
Inauma sana!
Iringa ehπ€πkule kwetu zamani mtoto akili Lia anapewa pombe alale
Kaudhaifu gani?Hata Mimi ningekuwa men ningeoa mchaga..potelea pote...Ila wanaume wakichaga kale kaudhaifu sijui kma bado kapoπ
Duh!!!Mi ni mchaga nakunywa pombe dada zangu nao vile vile,wazazi hawakua wakitugombeza bali tu walikua wanashauri tusitumie pombe kali mno,bibi babu walikua wanatupa mbege na busa kuna kipind nikaenda kijiji bibi akanipa mbege nikakataa alikasirika sana coz zamani nilikua naipenda mno. Babu (R.I.P) kafariki kwa kansa ya koo kwasababu ya pombe kali sana alikua anakunywa mpka wakampa jina la iyo pombe(kiseisei)
Kunywa sio shida,shida ni km atakuwa na madhara.Yaan mm mwanamke akinywa pombe na mshusha hazi.
Udhaifu upi huo?Hata Mimi ningekuwa men ningeoa mchaga..potelea pote...Ila wanaume wakichaga kale kaudhaifu sijui kma bado kapoπ
Inasemekana hampo vyema Sana faraghaUdhaifu upi huo?
Ulijaribu wangapi? Wakati mwingine tunapiga machine huku ubongo unafanya transaction za miamalaInasemekana hampo vyema Sana faragha
Sawasawa mkuuUlijaribu wangapi? Wakati mwingine tunapiga machine huku ubongo unafanya transaction za miamala
Ww umejuaje Kama huyo Ni mzaramo mkuu ?Wazaramo naonaga mnavyochezaga mkiwa uchi na zile ngoma zenu za singeli mbele za watoto wenu mnamwaga ladhi
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Nimedoma darasa la kwanza Hadi la Saba, ninavyorudi kula mchana, mama alikuwa ananiwekea chupa ya Ulanzi na chakula. Nakula ugali nashushia na Ulanzi mtogwa narudi Shule. Mara nyingine nakunywa na wa kwenye mtungi pia, kwa mrija.Mara nyingi nikiwa kikazi Moshi na maeneo jirani ya mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nikiona namna ambavyo watoto wa kichaga namna wanavyokula pombe waziwazi kabisa mchana kweupe, na ni wadogo mno aisee!
Wanagonga bia kila aina mbele ya wazazi ama ndugu zao kirahisi kabisa.
Inauma sana!