Vijana wanafanya 'MAZOEZI'makali? Inabidi sasa na upande wapili waanze 'MAZOEZI'makali maana huko tuendako sio kuzuri hata kidogo!
mkuu nadhani siyo maneno mazuri sana ya kutumia kwa wakati huu ambao watanzania tunapaswa kuwa pamoja ili kumkataa adui ambaye ameanza kujipenyeza.