Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Status
Not open for further replies.
Hatari ni kubwa sna katika hii hali maana mimi nina clip moja nimetumiwa na rafiki yangu whatsapp mpaka sasa sijaielewa inamuonyesha kiongozi wa kiisilam mwenye nafasi ya shekh akisema kuwa shekh akiuwawa muisilam akiachoma matairi barabarani au akiandamana ameshinda inatakiwa amkamate Padri wamchinje kwa kujificha au dhahiri huyu ni kiongozi wa dini hii hali inatupeleka wapi!? Inatakiwa ifike mahali kama serikali haina upande katika izi dini mbili wazungumze bila kung'ata maneno na wachukue hatua tuone matendo maana kuongea ni rahisi sana tunahitaji vitendo
 
Hakuna ugomvi wa kidini tanzania,wakristo na waislam tumeishi pamoja kwa amani miaka mingi mno,ninacho kiona mimi ni siasa za maji taka za viongozi wa kisiasa,chuki hii inayoonekana ni za kuundwa na viongozi wa kisisa lengo ikiwa ni kutugawa tusiwe wamoja kwa kuhofia kushindwa uchaguzi mkuu ujao 2015.

you are right... religion should not influence political ideology
 
kwani MOU si ilisainiwa na serikali ya ccm na sasa inatekelezwa na jk

wakati MOU inasainiwa mwaka 1992, nchi ilikuwa inafuata mfumo wa chama kimoja. kumbuka pia nafasi karibu zote nyeti zilishikwa na wakristo ukiachilia mbali nafasi ya urais ambayo ilikuwa chini ya mzee ruksa. hivyo kila kitu yeye alikubali tu na ndo maana hayati nyerere alimwachia nchi kwa vile alimwona ni dhaifu hivyo hataweza kupinga maamuzi ya kanisa
 
Hatari ni kubwa sna
katika hii hali maana mimi nina clip moja nimetumiwa na rafiki yangu
whatsapp mpaka sasa sijaielewa inamuonyesha kiongozi wa kiisilam mwenye
nafasi ya shekh akisema kuwa shekh akiuwawa muisilam akiachoma matairi
barabarani au akiandamana ameshinda inatakiwa amkamate Padri wamchinje
kwa kujificha au dhahiri huyu ni kiongozi wa dini hii hali inatupeleka
wapi!? Inatakiwa ifike mahali kama serikali haina upande katika izi dini
mbili wazungumze bila kung'ata maneno na wachukue hatua tuone matendo
maana kuongea ni rahisi sana tunahitaji vitendo

ungefanya jambo la maana kama ungetuwekea hiyo clip humu jf. vinginevyo utakuwa ni mwongo na mchonganishi na hivyo umevunja amri za mungu
 
Chadema wamekuza sana hoja ya udini na haiwaingizi ikulu ng'oooooooooooo
 
NACHUKIA KUWA MTANZANIA..NAONA AIBU KUWA MTANZANIA...SIJIVUNII KUWA MTANZANIA...kikwete hii nchi umeiharibu wewe...hatuhitaji tabasamu lako....I miss mr Benjamin...huyu kweli alikua baba na kiongozi..hacheki hovyo hovyo km vile yuko kwenye fashion show....
 
wakati MOU inasainiwa mwaka 1992, nchi ilikuwa inafuata mfumo wa chama kimoja. kumbuka pia nafasi karibu zote nyeti zilishikwa na wakristo ukiachilia mbali nafasi ya urais ambayo ilikuwa chini ya mzee ruksa. hivyo kila kitu yeye alikubali tu na ndo maana hayati nyerere alimwachia nchi kwa vile alimwona ni dhaifu hivyo hataweza kupinga maamuzi ya kanisa

kwahiyo kama mwinyi (muislam)alikuwa dhaifu basi na kikwete (muislam) ni DHAIFU maana bado anaig'ang'ania MOU
 
Kosa kubwa la Farao lililomgharimu maisha yake na ufalme wake kusahulika milele ni pale tu alipoyaona mapito akadhani ni yake, hivyo akajaribu kupita pasipo kujua mapito yale si yake bali ni ya wateule Taifa la Mungu Israel,

Na hatimaye baada ya yeye Farao na majeshi yake yote yakaangamia kwenye bahari ya shamu.

Pia hata leo kuna baadhi ya wahuni wanaotumia mwamvuli wa dini, wanatamani kupita mapito ambayo si yao, Lakin nawahakikishieni wahuni hao hawatafanikiwa hata kidogo na mwisho wataangamia na kusahulika kabisa kwani Bwana katia moyo mgumu ndani yao hivyo wanathubutu kupita njia/ mapito yasiokuwa yao bali ni ya wateule wa Bwana.

PERIOD.
 
wakati MOU inasainiwa mwaka 1992, nchi ilikuwa inafuata mfumo wa chama kimoja. kumbuka pia nafasi karibu zote nyeti zilishikwa na wakristo ukiachilia mbali nafasi ya urais ambayo ilikuwa chini ya mzee ruksa. hivyo kila kitu yeye alikubali tu na ndo maana hayati nyerere alimwachia nchi kwa vile alimwona ni dhaifu hivyo hataweza kupinga maamuzi ya kanisa

kwahiyo kama mwinyi alikuwa dhaifu basi na kikwete (muislam) ni DHAIFU maana bado anaig'ang'ania MOU
 
Serikali haiko dhahiri kupambana na hili,sjui malego yake....

serikali ina dhamira ya dhati isipokuwa wananchi hatutoi ushirikiano wa kutosha. mbona maaskofu wamemficha yule mchungaji aliyekuwa analeta uhasama wakati wa vuguvugu la kuchinja? haya amekamatwa victor ambrose kwa kurusha bomu pale olasit mnaanza kupindisha ukweli na kusema serikali imembambikizia kesi
 
kwahiyo kama mwinyi
(muislam)alikuwa dhaifu basi na kikwete (muislam) ni DHAIFU maana bado
anaig'ang'ania MOU

kikwete amekata mirija ya MOU na ndo maana maaskofu wamemchukia. wamefuta pia na ile kauli yao kuwa kikwete ni chaguo la mungu na askofu kilaini aliyetamka maneno hayo katupwa huko bukoba na ameambiwa asitokee kwenye media kuongea chochote
 
chanzo cha hiyo story ni mlengo uleule wa wachochezi wa kidini. wanajiona wao ni bora zaidi kuliko wengine

wachochezi ni wepi?
Walitoa cd au walitoa taarifa kuhusu cd.!
 
Halafu utakuta mtu anasema atakagua JF kila siku kutafuta wasambaza udini huku cd kama hizo zikiendelea kuzagaa mitaani na wala hajishughulishi nazo wala hata kuzungumzia hataki na ukimuuliza unapewa majibu mafupi ya ajabu.mtu huyo huyo atakufuata raia mwema kama wewe unayetoa taarifa hizi na kukushutumu ni mdini,unapata picha gani hapo?ni kwamba anataka cd hizo ziendelee kusambaa na watu wasizifichue,kwa nini?wenye akili tunapata majibu.this conspiracy is beyond Islam and christianity!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom