Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Status
Not open for further replies.
Naona waislamu kwenye hii thread wanajaribu kuitetea dini yao ambayo imekuwa na publicity mbaya sana hapa dunianiani na Bado motoni mtakiona.Tumeshawachoka bwana mnafanya dunia haipumziki na allah wenu ptuuu anayeshabikia kuua binadamu wenzenu,Eti jitu linakula moyo wa mwenzie huku linataja jina la mungu bila aibu damn it,Yaani hata kama Mungu anaitwa allah basi hili jina atalikana maana limetajwa kwenye vitu vya kishenzi shenzi sana siku ya mwisho mtamtafuta huyo allah wenu anayeshabikia mauji.Pumbafu kweli Nigeria watu hawapumui wala kutulia kisa haya majinga,syria yanauana yaani mmekuwa kero sana kwa kweli.Modes naombeni radhi kwa hili lazima waambiwe ukweli hawa watu maana tumechoka kuwachekea wanatupanda vichwani, hata sisi tunakasirika kwa mabaya mnayotundea mnaua viongozi wetu bila sababu kisa sijui nini.Ptuuuu tumewachoooooookaaaaaaaaa.
MUNGU SIO MWEHU NA HAFANANII NA MATENDO YA KIMWEHU MNAYOYAFANYA.
 
Ili kujua ni matendo yapi ya kishetani na ni yapi matendo ya Mungu, siku za mwisho zitakapo karibia maadui wa Mungu watadhihirika wazi kwa matendo yao.Mkiona watu wanashabikia mauaji, mapepo, majini,uchawi,kamwe hao siyo watu wa Mungu na jitengeni nao! Nyakati zinakuja ambapo wana wa Mungu watapata mateso makubwa zaidi katika dunia hii kwa kuwa ni gharama sana kuwa mwana wa Mungu!ufalme halisi wa Mungu si wa dunia hii!!!
 
hawa watu si hatari kwa wakristo pekee,na wala si kwamba waislam wote hawachukizwi na mambo haya,wanachukizwa na wanayaogopa sana,wapo waislam safi,wengi tu,pia hapo hawa wa siasa kali,hawa ni hatari duniani hata kwa waislam wenzao na hawataki mawazo tofauti na yao,na hawa ndo wanaoupaka matope uislam na kutukosanisha.Hilo la mafunzo ya kimapigano ni kweli,nilishawahi shuhudia hilo pale Iringa kuna msikiti mmoja upo jirani na makaburi ya UN(makaburi wanajeshiwaliokufa vita kuu ya dunia)mwaka 2008-2009 nikiwa napita sana njia hiyo nilipata kushuhudia kupitia dirishani mazoez yasiyo ya kawaida,ikiwemo kareti,,,.Tuzidishe sana maombi,tutaomba sana,na hasa wakati huu,tutasamehe sana ili Mungu aepushe hayo yote.naamini shetani atashindwa,kwani tangu harakati zote zianze ndipo vigango vimeongezeka,idadi ya wakristo imeongezeka,barokia zimeongezeka,majimbo yameongezeka na hata jumuiya na taasisi zimeongezeka.kama wanamadai waidai srlk kwan ndo walioipigia kura na si makanisa.
 
wakati MOU inasainiwa mwaka 1992, nchi ilikuwa inafuata mfumo wa chama kimoja. kumbuka pia nafasi karibu zote nyeti zilishikwa na wakristo ukiachilia mbali nafasi ya urais ambayo ilikuwa chini ya mzee ruksa. hivyo kila kitu yeye alikubali tu na ndo maana hayati nyerere alimwachia nchi kwa vile alimwona ni dhaifu hivyo hataweza kupinga maamuzi ya kanisa
Waraka tuliosomewa kanisan wakristo moja ya Madai ilikua ni kuitaka serikali iweke wazi MOU na serikali haijafanya hivyo mpaka Leo. Nataka natamani sana MOU ivunjwe wakristo turudishiwe mashule Yetu Kama Pugu, jangwani, Tosamaganga, Songea boyz&girls, hospital zetu zote. Mkakati wa kanisa katoliki ni kuhakikisha kufika 2020 kila mkoa Tanzania utakua na Chuo kikuu kinachomilikiwa na wa katoliki na hii ni kutokana na juhudi zetu wenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom