Polisi wetu hawana Maadili?

Milonji

Senior Member
May 26, 2022
153
494
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.
 
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.
Kiapo ni kutumikia wananchi ama watawala? Kama ni kutumikia watawala basi wanayo maadili ila kama ni raia basi hawana maana ni hatari hasa kipindi cha miaka ya multiples of 5.
 
Tanzania tuna Polisi wapatao takribani 50,000. Kosa lolote linapofanywa na askari Polisi mmoja (kama kweli ni kosa) si busara kutoa blanket conclusions, yaani za kiujumla jumla. Polisi ni binadamu na wanatoka katika Jamii zetu. Ni watoto wetu, ni ni kaka na dada zetu na wengine ni baba na mama zetu. Unaposema kea jumla kuwa Polisi wetu hawana maadili ni lugha ya kifedhuli maana wapo Polisi wengi tu wenye maadili tena ya hali ya juu kuliko hata hao waliopo katika Taasisi nyingine.
Jeshi la Polisi ni Taasisi kubwa iliyokusanya watu wa aina mbalimbali hivyo haiwezi kukosa baadhi ya watu wachache waliopungukiwa kimaadili kama sehemu nyingine yeyote hata nyumbani au kwenye familia yenu.
Tuje sasa kwenye mada yako. Napenda kukufahamisha kuwa Simu hasa Smartphone ni Moja ya vitendea kazi vya Jeshi la Polisi. Unapomuona askari Polisi awe mlinzi Bank, au Kachero au Usalama Barabarani unapaswa kwanza ufahamu kuwa simu ni chombo cha mawasiliano. Askari Polisi au Traffic anaweza kuwa anawasiliana na viongozi wake kutoa taarifa ama kupata maelekezo ya kiutendaji KAZI. Usiwe na mawazo finyu na potofu kuwa kila umuonapo askari Polisi anatumia simu yake basi yuko ana chat kwenye Instagram. Tubadilike na twende na wakati. Enzi za Ujima zimepitwa.
Kuhusu hizo tuhuma zingine ulizoongelea ni maneno tu ya vijiweni ambayo pasi na ushahidi wowote mahsusi hayapaswi kujadiliwa kwa sasa; haya husaidia tu kunogesha genge.
 
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.
Hawajui PGO
 
polisi%2Bvichakani.jpg
 
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.
Kuna chombo kinawalinda kwakuwa wanajua kutumia bunduki
 
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.

Unataka kuwalimit as if mnawalipa mshahara wa maana zaidi hizo laki 3 laki 4.

Wale walioko bungeni kutoa hoja za kitoto hamuwaoni? Wanalamba mamilioni bila kazi
 
Kinachofanya polisi waonekane kusakamwa,ni kua ndani ya jamii,wangekua mipakani huko wanachati kila muda,wanakulana denda,wanakunywa bia,wanavuta bangi ila RAIA hawawaoni,wasingekua wanasakamwa hivyo.Ndiyomaana huwa nafikia mahali nasema wa mipakani waletwe ndani,na hawa polisi waende mipakani au waondolewe kabisa,tuone kama malalamiko yatakuwepo au laa!
 
Habari za muda huu..

Hili ni swali tu na nina amini wajuvi wa Mambo ya Polisi watanisaidia Mimi na Wengine pia. Lengo langu ni kuelimishana na siyo kulichafua Jeshi la Polisi.

Mara nyingi ninajiuliza kama Jeshi letu la Polisi lina Maadili ya Kutosha hasa nyakati hizi za utandawazi.

Mfano,

1. Unamkuta Askari yupo LINDO tena Sehemu nyeti kama Bank wa Kiongozi lakini muda mwingi anabofya Simu. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

2. Askari wa barabarani tena akiwa Kazini yupo bize na kubofya Simu badala ya kuangalia usalama wa Vyombo vya moto na watembea kwa Miguu barabarani. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

3. Askari Polisi kushirikiana na Raia kukusanya mapato yasiyo halali kwa manufaa yake binafsi. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

4. Askari Polisi kuficha Namba yake ili tusimtambue anapofanya makosa. Je haya ni Maadili ya Jeshi letu?

5. (Ongeza)

Wenye ufahamu na Maadili ya Jeshi la Polisi tafadhali naombeni mnijuze

Nawasilisha.
Police wabongo hawana tofauti na ombaomba yaani madereva malori wanakuwa na bukubuku kwaajili ya kuwapa police
 
Tanzania tuna Polisi wapatao takribani 50,000. Kosa lolote linapofanywa na askari Polisi mmoja (kama kweli ni kosa) si busara kutoa blanket conclusions, yaani za kiujumla jumla. Polisi ni binadamu na wanatoka katika Jamii zetu. Ni watoto wetu, ni ni kaka na dada zetu na wengine ni baba na mama zetu. Unaposema kea jumla kuwa Polisi wetu hawana maadili ni lugha ya kifedhuli maana wapo Polisi wengi tu wenye maadili tena ya hali ya juu kuliko hata hao waliopo katika Taasisi nyingine.
Jeshi la Polisi ni Taasisi kubwa iliyokusanya watu wa aina mbalimbali hivyo haiwezi kukosa baadhi ya watu wachache waliopungukiwa kimaadili kama sehemu nyingine yeyote hata nyumbani au kwenye familia yenu.
Tuje sasa kwenye mada yako. Napenda kukufahamisha kuwa Simu hasa Smartphone ni Moja ya vitendea kazi vya Jeshi la Polisi. Unapomuona askari Polisi awe mlinzi Bank, au Kachero au Usalama Barabarani unapaswa kwanza ufahamu kuwa simu ni chombo cha mawasiliano. Askari Polisi au Traffic anaweza kuwa anawasiliana na viongozi wake kutoa taarifa ama kupata maelekezo ya kiutendaji KAZI. Usiwe na mawazo finyu na potofu kuwa kila umuonapo askari Polisi anatumia simu yake basi yuko ana chat kwenye Instagram. Tubadilike na twende na wakati. Enzi za Ujima zimepitwa.
Kuhusu hizo tuhuma zingine ulizoongelea ni maneno tu ya vijiweni ambayo pasi na ushahidi wowote mahsusi hayapaswi kujadiliwa kwa sasa; haya husaidia tu kunogesha genge.
Mkuu zeuss:

Kama Polisi wapo 50,000 na sisi tupo 50,000,000 ina Uwiano ni Polisi 1 kwa Watu 1,000. Sasa kama Polisi Mmoja akifanya uzembe kwa Makusudi unadhani ni Watu wangapi wana-athirika.

Halafu Polisi wanapofanya Mawasiliano wanatumia RADIO CALL au siku hizi wananunuliwa Simu Janja kwa ajili ya Mawasiliano?. Nimewahi kushuhudia mara nyingi tu Askari aliyepewa kusimamia ZEBRA ili watembea kwa Miguu wavuke kwa usalama yupo Bize na Simu kuliko Kufanya kazi yake.

Askari waadilifu wapo na ninawapongeza pia.

Hayo mengine najaziliza data. Nitakuja hapa kuwaletea ushahidi.
 
Unataka kuwalimit as if mnawalipa mshahara wa maana zaidi hizo laki 3 laki 4.

Wale walioko bungeni kutoa hoja za kitoto hamuwaoni? Wanalamba mamilioni bila kazi
Kama alikubali Kufanya hiyo kazi afuate Masharti.
 
Tanzania tuna Polisi wapatao takribani 50,000. Kosa lolote linapofanywa na askari Polisi mmoja (kama kweli ni kosa) si busara kutoa blanket conclusions, yaani za kiujumla jumla. Polisi ni binadamu na wanatoka katika Jamii zetu. Ni watoto wetu, ni ni kaka na dada zetu na wengine ni baba na mama zetu. Unaposema kea jumla kuwa Polisi wetu hawana maadili ni lugha ya kifedhuli maana wapo Polisi wengi tu wenye maadili tena ya hali ya juu kuliko hata hao waliopo katika Taasisi nyingine.
Jeshi la Polisi ni Taasisi kubwa iliyokusanya watu wa aina mbalimbali hivyo haiwezi kukosa baadhi ya watu wachache waliopungukiwa kimaadili kama sehemu nyingine yeyote hata nyumbani au kwenye familia yenu.
Tuje sasa kwenye mada yako. Napenda kukufahamisha kuwa Simu hasa Smartphone ni Moja ya vitendea kazi vya Jeshi la Polisi. Unapomuona askari Polisi awe mlinzi Bank, au Kachero au Usalama Barabarani unapaswa kwanza ufahamu kuwa simu ni chombo cha mawasiliano. Askari Polisi au Traffic anaweza kuwa anawasiliana na viongozi wake kutoa taarifa ama kupata maelekezo ya kiutendaji KAZI. Usiwe na mawazo finyu na potofu kuwa kila umuonapo askari Polisi anatumia simu yake basi yuko ana chat kwenye Instagram. Tubadilike na twende na wakati. Enzi za Ujima zimepitwa.
Kuhusu hizo tuhuma zingine ulizoongelea ni maneno tu ya vijiweni ambayo pasi na ushahidi wowote mahsusi hayapaswi kujadiliwa kwa sasa; haya husaidia tu kunogesha genge.
Polis wetu Hawa Hawa unaowatetea. Kama wewe sio polisi unajitetea basi hujaingia kwenye 18 zao. Wanaongoza kwa uonevu. Wajinga ni wengi. Mara ngapi tunaskia watu wanafia mikononi mwao na hatua hazichukuliwi. Mbona kwenye kupambana na upinzani wako simati sana. Ila kwenye mambo mengne wako ovyo mno.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Njia za kuwasiliana kwa Polisi zipo lukuki. Pamoja na Radio Calls pia mawasiliano hufanyika kwa njia ya simu. Haiwezekani kila askari Polisi kuwa na Radio Call kwa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom