Kwani ulikuwa hujuwi.nchi hii CCM tu na TLP ndio waliruhusiwa kufanya vikao.Kumbe hadi mikutano ya ndani ilipigwa pini!
Ni kipi kinachofanya muwazuie chadema wasifanye mikutano.?Sasa nyinyi CHADEMA hamueleweki mkiachiwa mfanye mikutano mnatoa maneno ya kukashifu polisi...jaribuni kuelimika ndugu zangu.
Haha hah haha haha .Ndugai ana siku chache Sana tena Sana za kuendelea kuliona jua...
Hakuna haja ya kuhangaika nae
Tambo kama hizi za kijingaNi kipi kinachofanya muwazuie chadema wasifanye mikutano.?
Basi muda umefika sasa wakujenga upinzani ulio imara zaidi.Kwani ulikuwa hujuwi.nchi hii CCM tu na TLP ndio waliruhusiwa kufanya vikao.
Na pia wasimwache Tulia mwanamke mwongo asiye na aibu hata chembe. Ndio maana hanenepi kama wanawake wa kinyakyusa.Tumewaachia BAWACHA wamsimange Ndugai hadi alegee! Yaani wamsimange tu akilala akiamka akili yake inawajadili BAWACHA!
Wewe utaishi MileleNdugai ana siku chache Sana tena Sana za kuendelea kuliona jua...
Hakuna haja ya kuhangaika nae
Haki ni haki yako ndugu. Hutakiwi kubembeleza.Upuuzi wa tambo kama zako ndizo zinafanya polisi waamue kuwapa vibondo. Hivi ungekaa kimya ungepungukiwa na nini? Acheni Chadema utoto
Polisi hawajaogopa, wamefuata utaratibu.Next ni Ndugai! Atawatoa Covid-19 kwa aibu sana. Haki itashinda dhuluma. Ni suala la uvumilivu na muda tu
Hakuna anayesema ubembeleze haki yako. Ila ukiipata acha nongwa; ati wamebana wakaachia; huo ni utotoHaki ni haki yako ndugu. Hutakiwi kubembeleza.
Tulianza na Mungu Tutamaliza na Mungu.... ikasikika ngurumo kutoka mbinguni; mfano wa ngurumo ya radi kuu ya kuogofya ikisema "nimeibariki na nitaibariki tena". Wote waliosikia wakaanguka kifudifudi!
Tambo za CCM siyo za kijinga?Tambo kama hizi za kijinga
The hopeless speaker is trying to get out of the shit without turnishing his image but options are none.Next ni Ndugai! Atawatoa Covid-19 kwa aibu sana. Haki itashinda dhuluma. Ni suala la uvumilivu na muda tu
Samia siyo sehemu ya hao wajinga. Rais Samia, mtu mstaarabu wa karne hii na ijayo, siyo hao primitive police.Hizo kauli ndizo huwaponza. Eti wameogopa. Polisi piga hao hakuna namna. Msimjaribu SSH
Twakuomba utusikieNdugai ana siku chache Sana tena Sana za kuendelea kuliona jua...
Hakuna haja ya kuhangaika nae