johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,107
Nguvu ya Umma huwa inasomba tu kundi la Watu wanaojielewa na Wasiojielewa ila wanakuwa Wengi kweli kweli kama Mafuriko ya Lowassa akiwa Chadema 2015
Umma Wenye Nguvu ni Ule uliosheheni Watu Wenye Misimamo wasioyumba wala kuyumbishwa kama wale Wapalestina pale Gaza
Watanzania tuna fursa ya kujifunza Siasa za Kweli kwa yanayojiri Israel, Lebanon na Gaza
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi 😄
Umma Wenye Nguvu ni Ule uliosheheni Watu Wenye Misimamo wasioyumba wala kuyumbishwa kama wale Wapalestina pale Gaza
Watanzania tuna fursa ya kujifunza Siasa za Kweli kwa yanayojiri Israel, Lebanon na Gaza
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi 😄