johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Kwa namna Mwalimu Nyerere alivyoitengeneza Tanzania kamwe huwezi kuipata Nguvu ya Umma na kwa maana hiyo Chadema wanajidanganya kwa makusudi kabisa
Kila nikimsikiliza Mdude namuona kama Mtu anayeamini katika Nguvu ya Mtu, na ndivyo walivyo Mashujaa Wote Akina Magufuli, Trump, Osama nk
Huwezi kukomalia Nguvu ya Umma halafu Wewe unakaa nyuma kabisa kama mchunga Mbuzi
Mungu wa mbinguni atutie Nuru!
Kila nikimsikiliza Mdude namuona kama Mtu anayeamini katika Nguvu ya Mtu, na ndivyo walivyo Mashujaa Wote Akina Magufuli, Trump, Osama nk
Huwezi kukomalia Nguvu ya Umma halafu Wewe unakaa nyuma kabisa kama mchunga Mbuzi
Mungu wa mbinguni atutie Nuru!