Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Bora ubakie huko huko ccm kama unaamini hadi maneno ya machizi
 
Mashetani na mapepo lazima yaogope ibada takatifu ya watu wa Mungu. CHADEMA ni mpango wa Mungu tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu. Chama Cha Mapepo CCM ni sawa tu kuwaogopa CHADEMA kwa sababu Mungu yupo nao.
 
Hata mie nimeiogopa chadema.

Hawana tofauti na ISIS ya kule Iraq.
 
Vijana wa chadema toeni hoja matusi ya nn??Mchange sio chizi amewashika pabaya.Najua kuna Mazwazwa mnalipwa na mume wenu mbowe ili kutetea ujinga wao.Na bado mbulula nyie.
 
Kama kina uwezo wa kufanya aliyosema Habib na bado dola imeufyata mkia, basi una haki ya kukiogopa maana sasa ni chama tawala.
 
Kumbe chadema ni zaidi ya vile tunavyokijua.... Aliyoyazungumza mchage yanatufanya sisi watoto wa masikini tuwe na hofu kufunua midomo hasa katika maswala yanayohusu chama hiki.... Kumbe they are capable of doing anything (kama aliyozungumza ni kweli) ... Nawausia masikini wenzangu tujikalie kimyaa tuangalie tu mambo yanavyokwenda .. Na tuviachie vyombo husika vitusaidie kuujua ukweli ........kwa kifupi ukombozi bado uko mbali sana
Unaacha kuogopa matendo ya magamba wenzio, eti unawaogopa CDM?

Ngoja nikupe mifano michache, ya yaliyofanywa na 'washirika' wako.

Kutekwa na kuteswa sana kwa Dr Ulimboka.

Kuumizwa hadi kunyofolewa jicho, kwa Mwanahabari, Absolom Kibanda.

Kuuawa na askari, Mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi, (upo ushahidi wa wazi wa tukio hilo wa picha)

Kuuawa kwa Dr Sengondo Mvungi.

Kuuawa kwa bomu kwa wananchi wasio na hatia, pale kanisani Olasiti, Arusha.

Kuuawa kwa bomu, kwa wananchi wasio na hatia pale Arusha, kwenye mkutano wa Chadema.

Kuuawa kwa bomu, na askari walinda usalama kwa yule muuza magazeti, asiye na hatia pale Msamvu, Morogoro.

Na wewe, waweza ongezea unyama mwingine unaoukumbuka, uliofanywa na serikali ya magamba.

Hakika, damu iliyomwagika ya wananchi wasio na hatia, itaendelea kuwalilia serikali ya magamba, hadi mwisho wa dunia!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...Kuuawa kwa Kolimba kwa kutamka kwamba "CCM imekosa mwelekeo"

Kuuawa kwa wananchi wasio na hatia na mali zao kuharibiwa kule Mtwara kwa kutaka nao wafaidike kwa gas iliyogunduliwa Mtwara.

Unaacha kuogopa matendo ya magamba wenzio, eti unawaogopa CDM?

Ngoja nikupe mifano michache, ya yaliyofanywa na 'washirika' wako.

Kutekwa na kuteswa sana kwa Dr Ulimboka.

Kuumizwa hadi kunyofolewa jicho, kwa Mwanahabari, Absolom Kibanda.

Kuuawa na askari, Mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi, (upo ushahidi wa wazi wa tukio hilo wa picha)

Kuuawa kwa Dr Sengondo Mvungi.

Kuuawa kwa bomu kwa wananchi wasio na hatia, pale kanisani Olasiti, Arusha.

Kuuawa kwa bomu, kwa wananchi wasio na hatia pale Arusha, kwenye mkutano wa Chadema.

Kuuawa kwa bomu, na askari walinda usalama kwa yule muuza magazeti, asiye na hatia pale Msamvu, Morogoro.

Na wewe, waweza ongezea unyama mwingine unaoukumbuka, uliofanywa na serikali ya magamba.

Hakika, damu iliyomwagika ya wananchi wasio na hatia, itaendelea kuwalilia serikali ya magamba, hadi mwisho wa dunia!
 
jf rudi kwenye msitari haya mnayofa mnatuhakikishi kuwa nyie ni ccm. .ccm na matawi yao wakianzisha thread sioni ikiunfanishwa lakini chadema tukianzisha thread mnakimbilia kuunganisha hata kama hazihusiani.
 
Kuna point moja kaisema ya aina 3 za wanachama wa chadema.

Ile ya mwisho kasema, WANACHAMA WENGI WA CHADEMA NI MAZWAZWA.... hahahahahaha te te teeh
 
Binafsi namwogopa zaidi ramadhani ighondu na mchange kwa kutaka kulipua helkopta ya dr. Slaa
 
Kuukanusha ukweli ni kitu kigumu sana, walichokosea akina Mnyika ni kumtumia Mchange na kisha kumkana. Mwiba hutolewa pale ulipoingilia.

kama anao ushahidi kwa nini hakuwapelekea polisi? ukiangalia picha yake ya ujana anaonekana kama chokoraa kabisa! kijana mchange anatapa tapa, no where to hide?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Kinondoni umetoa tamko kali dhidi ya njama zinazofanywa hivi sasa kati ya polisi,CCM na mawakala wao dhidi ya Chama hicho.

Akitoa tamko hilo jana Katibu wa Mkoa huo Henry Kilewo amesema kuwa kwenye kikao chao kilichokutana kujadili na kufanya maandalizi ya uchaguzi wa Mkoa, walijadili pia hali ya kisiasa ambapo walifikia azimio la kuwataka Polisi kutowakamata viongozi wa Chadema hadi wawakamate Kinana, Mwigulu, Steven Masele, Nape Nnauye, January Makamba na Zitto Kabwe, ambao ni washirika wa Mchange anayepita mitaani akitoa tuhuma bila ushahidi na polisi tayari wamezidaka juu juu!

Itakumbukwa kuwa viongozi hao wa CCM na mshirika wao Zitto Kabwe na mwezake Habibu Mchange walituhumiwa na madiwani wa Shinyanga kuwa walikula njama za kumuua Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa lakini mpaka sasa hakuna mtu aliyekamatwa kuhusiana na njama hizo chafu

Badala yake inaonekana kuna mkakati maalum umepangwa wa mtuhumiwa mmoja Habibu Mchange kutumwa kwenye vyombo vya habari na kuongea maneno ya hovyo hovyo yenye tuhuma za ajabu ajabu kwa viongozi wa Chadema ili kuvuruga tuhuma nzito zilizotolewa na madiwani wa Shinyanga.
 
Hawa polisi wameacha kabisa kutimiza majukumu yao based on principles na professionalism.

wanatumiwa na maCCM afu mwisho wa siku image yao kwa jamii inakuwa ya ovyo sana.

Ona sasa na huyu mchange anapita ktk vyombo vya habari na kutema maneno mbofu mbofu halafu eti usije shangaa polisi wakataka kuwakamata viongozi wa chadema na kuacha waliomtuma mchange ambao ni akina mwigulu, masele, kinana, nape etc.

laakini ndio maana hasa tunapigania katiba ya wananchi
 
Hawa maccm na makuwadi wake wanatapatapa bure tu,tupo kwenye inshu nzito ya katiba mpya na kamwe hawawezi kutuhamisha kwenye mjadala huo na kurukia huu upuuzi wao ambao kimsingi walitakiwa kuupeleka polisi na kwenye vyombo vya habari.huu mkakati wao wa kisheenz utashindwa tu kama ilivyoshindwa mingine iliyotangulia
 
Hizi single sasa zimetuchosha, wajaribu labda album ndio itawatoa!
 
Back
Top Bottom