Kesho watatoa tamko lingine siku hizi hata jua likichelewa kuchomoza wanatoa tamko kazi kweli.Matamko yamezidi sasa! Hayana tija yeyote!
Nalipongeza jeshi la Polisi Dar kwa kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi kada wa chama cha ACT Bw.Habib Mchange, ili kuisaidia jeshi hilo juu ya tuhuma alizozitoa kwa CHADEMA.
Pamoja na mambo mengine, Mchange aulizwe maswali yafuatayo:
1.Kwa kuwa amekiri kutumiwa na CHADEMA kutekeleza mauaji mbalimbali, aseme kwa sasa huko alipo wamemtumia kufanya mauaji ya nani?
2.Kama CHADEMA walimtumia, kwanini tusiamini kuwa hata sasa anatumika kwa kuwa ameshakuwa mtu wa "kutumikatumika"?
3.Kama anakubali CHADEMA walimtumia kupanga mipango ya mauaji, mbona anakataa kuhusika na njama za kumuua Dr.Slaa zilizotolewa na madiwani wa Shinyanga?
4.Aeleze kwa kina nani alimuua Mwangosi na atoe na ushahidi wa kutosha.
5.Aeleze ni kivipi CHADEMA walivaa sare za Polisi na kutekeleza mauaji ya Mwangosi.
6.Aeleze ni Afisa gani wa Polisi aliyewapa CHADEMA hizo sare na silaha za kumuua Mwangosi, na kwanini Afisa huyo hakuchukuliwa hatua.
7.Na kama Polisi wanafanya dili ya kuwaazima CHADEMA sare zao pamoja na Silaha ili kufanya uhalifu, kwanini hakuripoti muda wote hadi alipokuja kusema leo? Miaka mitatu aliyokaa kimya haoni alichangia watanzania wengi wasio na hatia kuuawa na CHADEMA kwa kupewa sare na Polisi?
8.Kwanini hakumshauri Rais Kikwete amfukuze kazi RPC Kamuhanda? maana kwa mujibu wa maelezo yake ndiye aliyesimamia mauaji ya Mwangosi kwa kushirikiana na CHADEMA.
9.Kwa kuwa amekiri yeye ni mtu wa dili za "mauaji" aeleze alishiriki nafasi gani kutekeleza mauaji ya Mwangosi? Alisambaza silaha kwa CHADEMA? Aliwabebea CHADEMA sare za Polisi? Au mchango wake ulikua upi?
10.Mwisho, ASIPEWE DHAMANA kwa kuwa anatuhumiwa kwa kupanga mauaji ( Conspiracy to Commit Murder).
(Pichani ni Habib Mchange enzi za ujana wake).
Mods naomba msiunganishe huu uzi na mingine.
Wadau, nimesikiliza mdahalo kati ya Mnyika na Mchange jana asubuhi na kuamini kuwa kama upo ukweli wowote japo kidogo katika tuhuma ambazo Mchange ameelekeza kwa Uongozi wa CHADEMA? Kwa maoni yangu, inaniwia ngumu sana kuamini kuwa yote aliyosema Mchange ni uongo mtupu. Nafikiri kuna ukweli kiasi fulani na ni busara ukawekwa wazi ili wasaliti wasiendelee kukivuruga chama chetu pendwa.
Tujadili huku tukijiuliza je yawezekana kuna ukweli wowote ule hata kama ni kidogo?
Nalipongeza jeshi la Polisi Dar kwa kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi kada wa chama cha ACT Bw.Habib Mchange, ili kuisaidia jeshi hilo juu ya tuhuma alizozitoa kwa CHADEMA.
Pamoja na mambo mengine, Mchange aulizwe maswali yafuatayo:
1.Kwa kuwa amekiri kutumiwa na CHADEMA kutekeleza mauaji mbalimbali, aseme kwa sasa huko alipo wamemtumia kufanya mauaji ya nani?
2.Kama CHADEMA walimtumia, kwanini tusiamini kuwa hata sasa anatumika kwa kuwa ameshakuwa mtu wa "kutumikatumika"?
3.Kama anakubali CHADEMA walimtumia kupanga mipango ya mauaji, mbona anakataa kuhusika na njama za kumuua Dr.Slaa zilizotolewa na madiwani wa Shinyanga?
4.Aeleze kwa kina nani alimuua Mwangosi na atoe na ushahidi wa kutosha.
5.Aeleze ni kivipi CHADEMA walivaa sare za Polisi na kutekeleza mauaji ya Mwangosi.
6.Aeleze ni Afisa gani wa Polisi aliyewapa CHADEMA hizo sare na silaha za kumuua Mwangosi, na kwanini Afisa huyo hakuchukuliwa hatua.
7.Na kama Polisi wanafanya dili ya kuwaazima CHADEMA sare zao pamoja na Silaha ili kufanya uhalifu, kwanini hakuripoti muda wote hadi alipokuja kusema leo? Miaka mitatu aliyokaa kimya haoni alichangia watanzania wengi wasio na hatia kuuawa na CHADEMA kwa kupewa sare na Polisi?
8.Kwanini hakumshauri Rais Kikwete amfukuze kazi RPC Kamuhanda? maana kwa mujibu wa maelezo yake ndiye aliyesimamia mauaji ya Mwangosi kwa kushirikiana na CHADEMA.
9.Kwa kuwa amekiri yeye ni mtu wa dili za "mauaji" aeleze alishiriki nafasi gani kutekeleza mauaji ya Mwangosi? Alisambaza silaha kwa CHADEMA? Aliwabebea CHADEMA sare za Polisi? Au mchango wake ulikua upi?
10.Mwisho, ASIPEWE DHAMANA kwa kuwa anatuhumiwa kwa kupanga mauaji ( Conspiracy to Commit Murder).
(Pichani ni Habib Mchange enzi za ujana wake).
Bado Mnyika,Lissu,Mbowe.
Na hayo Maswali wataulizwa wao.
Mchange kaenda kutoa melezo tuu!
Kwa hiyo bavicha mna imani na jeshi letu la polis I? Litapochukua hatua ambazo hazitokufurahisha usisahau kulipongeza jeshi letu La polisi.
Nashukuru kuona bavicha mnaanza kuliamini jeshi letu la polisi na usisahau kumshauri mbowe kupeleka hule mkanda wa mauji ya Soweto.
Nakutakia kila LA kheri kwenye kugombea uenyekiti wa bavicha.
Wakamatwe basi watuhumiwa wa mauaji na utekaji huo ambao Habibu amewataja. Watu hao ni pamoja na
- Freeman Mbowe
- Wilbroad Slaa
- John Mnyika
- Tundu Lissu
- Henry Kilewo
- Godbless Lema nk
kama anao ushahidi kwa nini hakuwapelekea polisi? ukiangalia picha yake ya ujana anaonekana kama chokoraa kabisa! kijana mchange anatapa tapa, no where to hide?
Haumwi akili wala nini ni siasa za CCM zimemchanganya akili, kama mnavyojua ccm ikishakutumia inakuacha palepale haikumbuki hata kutupa kwenye dust bin.Mchange anaumwa akili, anahitaji ushauri wa kitaalamu
Ni tatizo la kuokota machokoraa wa pale fire na kuwaleta kwenye siasa
Ukitoa maelezo ambayo huwezi kuyathibitisha kwa kina basi kuna kila sababu ya kupandishwa kizimbani kwanza kwa uzushi na pili kupoteza muda na rasilimali chungu nzima za polisiCCM. Wakati watakaoupoteza kushughulikia uzushi wa huyu msaliti polisiCCM wangeweza kuutumia katika mambo mengine muhimu kwa mfano uchunguzi wa mabilioni ya Uswiss.