Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

Nalipongeza jeshi la Polisi Dar kwa kumkamata na kumuweka chini ya ulinzi kada wa chama cha ACT Bw.Habib Mchange, ili kuisaidia jeshi hilo juu ya tuhuma alizozitoa kwa CHADEMA.

Pamoja na mambo mengine, Mchange aulizwe maswali yafuatayo:



(Pichani ni Habib Mchange enzi za ujana wake).


Mkuu unahoja nzito!
Kwa ajili ya kupanua wigo wa mjadala na utathimini wa huyu masikini wa mawazo/akili unaweza kutusaidia hiyo picha Mchange alikuwa ana umri gani?

 
Mwambieni Lisu. kumchokonoa na kijiti nyoka aliyelala shimoni kwake kimya haya ndio madhara yake. Mchange hakuwa na madhara mpaka Lisu na madiwani wake walipoamua kumkurupua usingizini kwa taarifa za kuzusha kulipua Helkopta, maana yake Mchange anamiliki maroketi ya kutungulia ndege
 
attachment.php

Ndo huyu kumbe? Basi Polisi wamwachie huru tu manake hakosi kuwa na matatizo ya akili huyu!!!!!
 
Vijana wa chadema toeni hoja matusi ya nn??Mchange sio chizi amewashika pabaya.Najua kuna Mazwazwa mnalipwa na mume wenu mbowe ili kutetea ujinga wao.Na bado mbulula nyie.

Kwahiyo nawe na akili zako za kuendea chooni unaamini chadema walipewa sare za polis ili wamuue Mwangosi?
 
Damu ya binadamu haipotei bure chadema mtaficha wapi nyuso zenu
 
Hivi kumbe humu jamii forum siku zote huwa nadhani walioko huku nao ni great thinker kama inavyojulika kumbe kuna husks kama fb? mh poleni jamani kwa vile chujio lilitoboka wakati wa kuchucha brain ability
 
Ndo huyu kumbe? Basi Polisi wamwachie huru tu manake hakosi kuwa na matatizo ya akili huyu!!!!!

Uko sawa kabisa mkuu, najiuliza cjui ni kwa nini tu hata Mh.J Mnyika alikubali kwenda kwenye maongezi na mwehu kama yule!!!!!.Mchange anahitaji matibabu ya Akiri ameehuka yule siyo bure.
 
Uko sawa kabisa mkuu, najiuliza cjui ni kwa nini tu hata Mh.J Mnyika alikubali kwenda kwenye maongezi na mwehu kama yule!!!!!.Mchange anahitaji matibabu ya Akiri ameehuka yule siyo bure.

Mkuu ni bora Mnyika alienda tu na tukashuhudia ujinga wa taahira wa ccm na Act yao
 
Wapo wengi tu wenye ushahidi ambao badala ya kuupeleka polisi au kwenye vyombo vingine vya dola huugeuza na kuwa filamu za kuangalia na wake zao majumbani mwao.

kama ilivyo kwa kibaka habib mchange, a looser!
 
Arudishe pesa za CCM maana ni tapeli kiasi cha Manifesto ya Uchaguzi mdogo Igunga anaita mpango wa Chadema kumteka Mussa Tesha na kummwagia tindikali. Hata kijana wa Chadema aliyeuliwa toka Dar hamkumbuki bali anabwabwaga ili Nape na wenzake wamkubali. Anathubutu kudanganya Mnyika alikuwa Igunga kumbe hakuwepo Bongo alikuwa safarini Zambia

ihi ya mnyika kuwa igunga.ndio iliniacha ohi kabisa.waswahili wanamsemo usemao.uongo uthibitika kwa wingi wa maneno yako mpaka unasahau ulicho kiongea punde.hapa wenye akili tukajua wapo watu nyuma yake huyu dogo.
 
Bado Mnyika,Lissu,Mbowe.
Na hayo Maswali wataulizwa wao.
Mchange kaenda kutoa melezo tuu!

Kwa hiyo bavicha mna imani na jeshi letu la polis I? Litapochukua hatua ambazo hazitokufurahisha usisahau kulipongeza jeshi letu La polisi.

Nashukuru kuona bavicha mnaanza kuliamini jeshi letu la polisi na usisahau kumshauri mbowe kupeleka hule mkanda wa mauji ya Soweto.

Nakutakia kila LA kheri kwenye kugombea uenyekiti wa bavicha.

sema ule mkanda siyo hule mkanda. Hivi nyie ccm mmesoma shule zipi? hata faiza foxy huandika vivyo hivyo ingawa inajiita graduate!! TAIFA LINAELEKEA WAPI HILI?
 
Back
Top Bottom