palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
hiyo picha ya ujana inamuonyesha kama kibaka tu wa mitaani! hata maelezo yake yamekaa kihuni tu!
mie sina mbavu za kucheka....
hiyo picha ya ujana inamuonyesha kama kibaka tu wa mitaani! hata maelezo yake yamekaa kihuni tu!
Leo Mnyika alipatikana kweli. Yaani hadi hurumaKwenye yale mahojiano na Star Tv asubuhi kuna barua aliitoa kama ushahidi na kumtaka Mnyika aikanushe, hada mahojiano yanaisha Mnyika hakuikana kitu ambacho kinaonyesha kuwa anaitambua.
Kwa kawaida uchunguzi wa kipolisi huhusisha wote wanaotajwa kuhusika. CHADEMA mjiandae viongozi wenu kwenda kwa pilato
Leo Mnyika alipatikana kweli. Yaani hadi huruma
Nimeelewa ni kwa nini jamaa anaamua kujifungia mabomu afe na wengi. Kumbe chama kimem soap soap, na baada ya ccm kutokumwamini baada ya kushindwa kukamilisha dili la mauaji walilokuwa wamempa, amekosa tumaini sasa. Na Kwa kuwa anajua ACT ni ccm, hategemei kuaminika sana nako hasa baada ya cDM kumshtukia, sasa haoni sababu ya kuishi.
Sasa mchange uende pema peponi peke yako. Safari ya wengine haijafika. Bye Mchange.
fisi; sijui niazie wapi ila Mchange hatafika hata central. Ataachiliwa huko huko Mabibo alikowekwa chini ya ulinzi wa constable. Hii ni janja tu ya Mapoliccm, kutaka kuchafua ile ya Matefu na tishia ya kueleza mamilioni walopewa Chadema na UKAWA kuchafua nchi. Tanzania kila mwana ccm ni msemaji wa chama kinyume na upinzani tu. ACT ni tawi tu la ccm limebadili jina la mtaa. Kutoka Lumumba sasa wamefungua tawi mtaa wa ACT. Tumesha wagundua kuwa ni kutaka kutuchafua akili tuu. Hakuna mtu mwenye akili timamu asiyetamani kupotea duniani awezaye kujitapa ati aliua watu kwa msaada wa police. Kitengo cha propaganda cha ccm kimeishiwa maarifa. Wabuni uongozi mpya, labda wamweke ZZK.Ingekuwa wakati wa Nyerere angejua vizuri nini maana ya chombo cha dola. Siku hizi polisi imekufa toothless mtu anaropoka tu na kufanya uchochezi anaachiwa. Too much double standards. Siasa iwe mbali na usalama. Polisi fanyeniKazi.
Bw.Hamad Lyimo kule fb amesema hivi:
"Nimetuma hii picha kwa rafiki yangu mtaalam wa afya akaniambia inaonyesha mwenye image hii alipata utapiamlo akiwa chini ya miaka mitano. Utapiamlo katika kipindi hicho huathiri sana ubongo na uwezo wa kufikiri." Mwisho wa kunukuu.
Bw.Hamad Lyimo kule fb amesema hivi:
"Nimetuma hii picha kwa rafiki yangu mtaalam wa afya akaniambia inaonyesha mwenye image hii alipata utapiamlo akiwa chini ya miaka mitano. Utapiamlo katika kipindi hicho huathiri sana ubongo na uwezo wa kufikiri." Mwisho wa kunukuu.
Kalale wewe huna jipya, tumia muda wako kuandika vitu vya maana itakusaidia. Eti mtoto wa maskini,na utabaki hivyo ukiwa na mawazo finyu hapa Duniani. Think big act locally.Kumbe chadema ni zaidi ya vile tunavyokijua.... Aliyoyazungumza mchage yanatufanya sisi watoto wa masikini tuwe na hofu kufunua midomo hasa katika maswala yanayohusu chama hiki.... Kumbe they are capable of doing anything (kama aliyozungumza ni kweli) ... Nawausia masikini wenzangu tujikalie kimyaa tuangalie tu mambo yanavyokwenda .. Na tuviachie vyombo husika vitusaidie kuujua ukweli ........kwa kifupi ukombozi bado uko mbali sana