Polisi wafunga comments za post ya Tanzia ya Richard Ambwao

Polisi wafunga comments za post ya Tanzia ya Richard Ambwao

.
 

Attachments

  • downloadfile-15.jpg
    downloadfile-15.jpg
    135.1 KB · Views: 5
Kuendelea kudhani kwamba woote wanao comment kinyume na mazoea pale inapotokea kifo cha askari au kiongozi wa serikali ni wafuasi na wanachama wa CHADEMA ni kunilisha upepo ambao haushibishi

Wakae chini watafute walipokosea wayaweke sawa na wananchi, hii hali sio nzuri.
Hapo huna tofauti na yule mshamba aliyeliamkia sanamu la askari na kuomba ruhusa ya kupita aende mnazi mmoja! Hayasikii hayo majitu mwitu!
Yaani akili ndogo zimebinafsisha madaraka hivyo yameziba masikio na kuzima bongo zao zisiwaze tena!
 
Kuendelea kudhani kwamba woote wanao comment kinyume na mazoea pale inapotokea kifo cha askari au kiongozi wa serikali ni wafuasi na wanachama wa CHADEMA ni kunilisha upepo ambao haushibishi

Wakae chini watafute walipokosea wayaweke sawa na wananchi, hii hali sio nzuri.
Rafiki yangu George Simbachawene alianza kutaka kurekebisha na kurudisha mahusiano mazuri kati ya polisi na wananchi kama yalivyo mapendekezo ya Tume ya Haki jinai iliyoongozwa na Jaji Chande akapata upinzani mkubwa toka kwa IGP na Samia akamfukuza kazi sasa haya ndiyo matokeo yake wala wasitoe milio mabosi wao ndiyo wanataka iwe hivyo.
 
Wameona hawawezi kupiga watu risasi mitandaoni ndio maana wamejihami.
 
Hii ni kuzuia maneno ya chuki kutoka kwa raia.
Hili pekee haliwastui. Kwa nini pawe na "maneno ya chuki toka kwa raia". Mmejiuliza swali hilo na kulijibu wenyewe?

Kwa hiyo mnajuwa nyinyi ni adui wa raia ambao mnatakiwa kulinda usalama wao?
 
Back
Top Bottom