Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
walianzisha na sasa wanalalamika nini walidhani yataishia viwanja vya NMC Arusha?
kile ninachotaka kufanya 2015,nasikia kimeanza kufanyika,kama ni kweli nitajiunga nao sasa,ili ang'oke kabla ya uko.
Maswala ya kumiliki silaha tena kutupiana risasi kwa wanasiasa yamesemwa yametokea sana kwenye Uchaguzi Igunga na mpaka sasa hatua za msingi hazionekani zikilingana na ukali wa taarifa zilizokuwa zikitolewa ktk kipindi kile cha uchaguzi wa Igunga.
Mengi yatasemwa ili kutisha watu ila kimsingi na kiuhalali kila mwenye silaha anapaswa kuwa na silaha yake popote alipo hata mimi binafsi nilikua njugu 17 kiononi(halali) ila sikudhubutu wala sikufikiria kuigusa silaha yangu kwa sababu sikuwa na matumizi nayo kwa wakati ule pale NMC kwenye mkesha.
nitakusaidia tu mana naona huna upeo wa kutafakari na kuelewa, 1. KAMANDA LEMA HAKUWA NA KOSA LLT LA KUWAFANYA POLISI WAMKAMATE NA KUMUWEK JELA 2. ALICHOKIFANYA LEMA KUKATAA DHAMANA KITAKUA FUNDISHO KWA KWA SERIKALI NA JESHI LK KUELEWA KW RUMANDE HAPAOGOPEWI TENA 3. KISHERIA LEMA ALIPASWA KUTOLEWA JANA KWA REMOVE ORDER AKAHUDHURIE BUNGE 4.SERIKALI YA CCM IPEOGOPA KUMTOA LEMA JANA KWA KUHOFIA HY PRINCE USHOGA ANAYEENDA ARUSHA KESHO ASIJE AKAKUTANA NA SHAMBPASHAMBRA ZA CDM 5. POLISI WANADHANI KUMZUIA LEMA ASITOKE JELA NI KUZIMA MOTO KUMBE WAMEZIMA MOTO KWA PETROLI.kama mahabusu ni kuzuri Dr Balaa akapate kusimuliwa na Lema. Lema alikataa dhamana akidhani kuna mahabusu ya wabunge kumbe mahabusu hakuna sheria wakikutamani wanajichukulia kwa nguvu alipotaka kutoka wafungwa wameomba aendelee kubaki
Polisi mkoani Arusha wanadai kuwa baadhi ya wana-CHADEMA waliokuwa kwenye Mkesha wa NMC jumatatu usiku walikuwa na silaha za moto.
Kaimu Kamanda, Akili Mpwapwa amesema kuwa Dr Wilbroad Slaa alikutwa na Bastola Walther Pistol T2-CAR-61074-327963 wakati alipokamatwa na Bwana Daniel Ezekiel Ogongo ambaye pia alikamatwa kwenye tukio hilo akidaiwa kuwa na Pietro Beretta H-447577 CAT5802
Cha kushangaza ni kwamba wakati Polisi ikiwaburuza mahakamani wafuasi wa CHADEMA wale wanachama wa CCM ambao wiki kadhaa zilizopita walikutwa na kosa hilo hilo la kuandamana na kufanya mikutano bila kibali mjini Arusha wamesamehewa na kupewa onyo kali!
Polisi wamekiri kuwa pamoja na kwamba wakeshaji pale NMC walikuwa hawajajiandaa na walipovamiwa walikuwa tayari wamechoka kwa kuimba usiku kucha, bila chakula na kwenye mvua na baridi kali bado wasingeweza kuwadhibiti na hivyo kulazimika kutumia magari nane pamoja na lile lori lenye maji ya kuwasha.
Na haikuwa rahisi pia, pamoja na zana zote hizo.
Kama wana akili wangetakiwa kujua kuwa hakika hali inaenda kuwa mbaya.
slaa chama umekijenga mwenyewe utakiharibu mwenyewe
Hii habari ni sumu humu JF sasa hivi Mods wataitoa waichanganye na thread zingine...
Dr Slaa risasi 17 unakwenda vitani?
Kamanda MBOWE mbona alisepa na kuteleza kama kambale tofauti na kauli zake za nguvu pepoooooooooooooo pawa, Binafsi nilidhani angeonyesha ukakamavu kwa wafuasi wake kwa kubaki uwanjani mpaka akamatwe
Masaburi at work. Kajenge CCM inamomonyoka hadi sasa hivi tusi la akina mama ni "Una akilih ovyo kama CCM?" Nadhani ndiyo akili yakoslaa chama umekijenga mwenyewe utakiharibu mwenyewe