well,polisi wanatuhabarisha kwamba 'wamemkuta' Dr na Walther Pistol T2-CAR-61074-327963.but wait a minute!hawa ni polisi wepi?ni wale ambao wakisikia dr slaa anakuja Arusha wanajiandaa na silaha za moto,maji ya kuwasha,mabomu and the like?ni wale wanaodai kuwa Slaa na wenzake 'walidharau' amri halali ya polisi?kwamba sasa kwa kuwa wanayafanya haya yote habari hii inatoka from credible source?one sentence.this is crap from crap!