issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
halafu wakishammaliza, wewe utakuwa hukatwi kodi wakati wa kutuma pesa kwa njia ya simu na wala wakati ukiweka salio.wampige sindano tu mmalize taratibu
halafu wakishammaliza, wewe utakuwa hukatwi kodi wakati wa kutuma pesa kwa njia ya simu na wala wakati ukiweka salio.wampige sindano tu mmalize taratibu
Kuna majinga huko geita yamemuua RAIA mwema kisa alimjeruhi polisi.Wamfunge tu ijulikane now tumechoka na mambo yao
Ila siku police yeyote akijichanganya kwenye 18 zangu nafumua ubongo
I'm tired with these idols!
Polisi si wajinga ,na hawajawahi kuwa wajinga .Amani haitenganishwi na utaratibuUjinga wa polisi unajionyesha dhahiri.
Tena unamfumua afsa mkubwa hawa wadogo wadogo hawa hamna kitu nikuwasamehe tuhalafu nawewe unajiua.
unaacha ujumbe kwamba umekufa ukiipigania chadema.
mwangosi aliuawa kabla hajamfikia.Tena unamfumua afsa mkubwa hawa wadogo wadogo hawa hamna kitu nikuwasamehe tu
Mkuu tatizo kubwa ni mfumo unaoendesha hilo jeshi la polisi! Mfumo huo na hii system ya uongozi wa nchi yetu kwa jumla, unapaswa kupigwa kupigwa risasi ya kichwa na kufumuliwa ubongo! Kazi hiyo siyo rahisi, na Mbowe ni kati ya watu wanaopigana na mfumo huo wakiwa front kabisa!Wamfunge tu ijulikane now tumechoka na mambo yao
Ila siku police yeyote akijichanganya kwenye 18 zangu nafumua ubongo
I'm tired with these idols!
Yaa yaaa... True true veryJob true true
Hapo kuna mtu tayari keshapiga kibunda mzee... Kitaandikiwa matumizi ya kumsafirisha Mwamba to and from DarCCM kweli mna hela za kuchezea...mahojiano tu hadi dar toka mza then Mza again... wakati watoto madarasani wanakaa chini...
Umuhimu wa katiba mpya ni unaonekana waziwazi ili mambo haya ya kuchezea kodi za walala hoi yafikie kikomo.
Bila CHADEMA/Mbowe na wanaharakati wengine sifahamu kama CCM ingekuwa na hali gani muda huu.Bila POLISI CCM ingekuwa kwenye hali gani kisiasa hapa nchini.CCM inawategemea POLISI kushindana na vyama kama CUF,ACT,ADC nk kushinda Uchaguzi wa Jimbo lenye watu wasiozidi 3,000?Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza imethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwa mahojiano.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi amesema kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini alitiwa mbaroni alfajiri ya kuamkia jana Jumatano Julai 21 akiwa hoteli ya Kingdom mtaa wa Ghana alikokifikia.
"Baada ya kumkamata, wenzetu wa Dar es Salaam nao walitueleza kuwa wanamtafuta kwa makosa mengine anayodaiwa kuyafanya huko; hivyo tulimsafirisha kwenda Dar es Salaam anakoendelea kuhojiwa," amesema Kamanda Ng'anzi.
Amesema kiongozi huyo wa Chadema hivi sasa yuko kwenye mikono salama ya polisi Mkoa wa Dar es Salaam na atarejeshwa Mwanza baada ya mahojiano ili aunganishwe na wenzake 15 wanaoshikoliwa kuhusiana na kongamano la Katiba Mpya lililozuiwa na jeshi hilo jana.
Mwananchi
Tarehe 25/07/2021 tukutane Lake Tanganyika Stadium.Safi kabisa!
Mbowe anamlaumu Samia kwamba hachukui hatua zozote kuzuia kusambaa kwa corona ila bado anahamasisha vikongamano uchwara vyake! Bure kabisa.
Polisi si wajinga ,na hawajawahi kuwa wajinga .Amani haitenganishwi na utaratibu
Polisi bwaaana du!?Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza imethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwa mahojiano.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi amesema kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini alitiwa mbaroni alfajiri ya kuamkia jana Jumatano Julai 21 akiwa hoteli ya Kingdom mtaa wa Ghana alikokifikia.
"Baada ya kumkamata, wenzetu wa Dar es Salaam nao walitueleza kuwa wanamtafuta kwa makosa mengine anayodaiwa kuyafanya huko; hivyo tulimsafirisha kwenda Dar es Salaam anakoendelea kuhojiwa," amesema Kamanda Ng'anzi.
Amesema kiongozi huyo wa Chadema hivi sasa yuko kwenye mikono salama ya polisi Mkoa wa Dar es Salaam na atarejeshwa Mwanza baada ya mahojiano ili aunganishwe na wenzake 15 wanaoshikoliwa kuhusiana na kongamano la Katiba Mpya lililozuiwa na jeshi hilo jana.
Mwananchi
Hakuna kesi hapo . Na uonevu una mwisho kwa fimbo ya mnyonge .Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza imethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwa mahojiano.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi amesema kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini alitiwa mbaroni alfajiri ya kuamkia jana Jumatano Julai 21 akiwa hoteli ya Kingdom mtaa wa Ghana alikokifikia.
"Baada ya kumkamata, wenzetu wa Dar es Salaam nao walitueleza kuwa wanamtafuta kwa makosa mengine anayodaiwa kuyafanya huko; hivyo tulimsafirisha kwenda Dar es Salaam anakoendelea kuhojiwa," amesema Kamanda Ng'anzi.
Amesema kiongozi huyo wa Chadema hivi sasa yuko kwenye mikono salama ya polisi Mkoa wa Dar es Salaam na atarejeshwa Mwanza baada ya mahojiano ili aunganishwe na wenzake 15 wanaoshikoliwa kuhusiana na kongamano la Katiba Mpya lililozuiwa na jeshi hilo jana.
Mwananchi
Tengua kauli, hii taasisi ipo, itakuwepo, hata Chadema ikichukua nchi taasisi hii itakuwepo chini yake.Wamfunge tu ijulikane now tumechoka na mambo yao
Ila siku police yeyote akijichanganya kwenye 18 zangu nafumua ubongo
I'm tired with these idols!
Polisi wa Tanzania katika utendaji wa shughuli zao hawaruhusiwi kutumia akili hata kidogo, mbona wanafanya mambo kipumbavu pumbavuJeshi la Polisi mkoa wa Mwanza imethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwa mahojiano.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi amesema kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini alitiwa mbaroni alfajiri ya kuamkia jana Jumatano Julai 21 akiwa hoteli ya Kingdom mtaa wa Ghana alikokifikia.
"Baada ya kumkamata, wenzetu wa Dar es Salaam nao walitueleza kuwa wanamtafuta kwa makosa mengine anayodaiwa kuyafanya huko; hivyo tulimsafirisha kwenda Dar es Salaam anakoendelea kuhojiwa," amesema Kamanda Ng'anzi.
Amesema kiongozi huyo wa Chadema hivi sasa yuko kwenye mikono salama ya polisi Mkoa wa Dar es Salaam na atarejeshwa Mwanza baada ya mahojiano ili aunganishwe na wenzake 15 wanaoshikoliwa kuhusiana na kongamano la Katiba Mpya lililozuiwa na jeshi hilo jana.
Mwananchi