Kwa mtindo huu basi hakuna haja ya ATM kwamana tutakwisha sasa! Au ni wivu wa askari kuona jamaa kaja kuchukua zake akatanue na yeye kubaki mlinzi na baridi likimpiga!!!.
pOLIS wanaolinda bank usiku
wanajigeuza trafick baada ya kufanya kazi ya kulinda Bank. Kuna siku
moja walinisimamisha pale Posta wakajianya nimevunja sheria
nikawakomalia wakaniachia. Ukiwa na gari jamaa anasimama mbele yako na
kukunyoshea mtutu.
tena sio anakuwasha risasi kwa sababu wewe ni jambazi ila kwa sababu anataka achukue mihela ambayo atahisi unayo na huwa anawaza hili jitu litakuwa na kuanzia mamilioni.
hawa ndio polisi wa baba riz wanajua kuua na kuchukua mali kama ule wakati wa ukuaji wa empires yani ni kuua na kupokonya na kujilimbikizia chochote kitakachopatikana.
Hiyo ipo hata hapa dar, Ukiwa unaendesha bahati mbaya ukapita njia iliyopo posta karibu na NMB makao makuu, inayoangaliana na Bima, halafu iwe usiku badala ya kulinda Bank wanakusimamisha na wanataka pesa, wakati mm najua mtu ukikosea wanatakiwa wakueleweshe na siyo kuwapa pesa. na ukimwambia huna anakutishia bunduki ansema anakushuti halafu atasema wewe ulikuwa unataka kuiibia bank pesa. na ukishafumba mdomo huwezi bishana naye unaona bora uwape usepe zako.Askari anaacha kulinda bank anafanya kazi za traffic police,njaa mbaya sana
Walifikiri ni jambazi!Hebu tuelezee vizuri basi na sisi tusioijua hii story, ilikuwaje mpaka polisi wakampiga risasi?.
Ni yakweli hayo mkuu?Hiyo ipo hata hapa dar, Ukiwa unaendesha bahati mbaya ukapita njia iliyopo posta karibu na NMB makao makuu, inayoangaliana na Bima, halafu iwe usiku badala ya kulinda Bank wanakusimamisha na wanataka pesa, wakati mm najua mtu ukikosea wanatakiwa wakueleweshe na siyo kuwapa pesa. na ukimwambia huna anakutishia bunduki ansema anakushuti halafu atasema wewe ulikuwa unataka kuiibia bank pesa. na ukishafumba mdomo huwezi bishana naye unaona bora uwape usepe zako.