Polisi Makete waua mteja wa benki

Polisi Makete waua mteja wa benki

Matatizo ya polisi kuomba hela kwa wanaochukua ATM ni makubwa bila wao kujali wengine wanachukua elfu 5. Ulegevu wa kuwatetea polisi hata kama pale wamefanya uhalifu wa dhahiri ndo unatupeleka kubaya. Ni ngumu kiupelelezi mtu aliyekwenda ATM kuchukua fedha kuanza ugomvi na askari. Hapa iko wazi kuwa polisi wameanzisha ugomvi a wakamuua mhusika.
 
Mtumeeeeeeee! Aya ndo matokeo ya kuajiri vilaza vilivyofeli saaana...hivi kweli mtu unaweza kuua kisa hajavaa kofia? Sipati picha hizi zero zikiingia ktk soko la ajira madhara yake yatakua zaidi ya haya...
 
Enyi polisi, Huyo mwalimu alikuwa na silaha yoyote katika huo ujambazi mliomuhisi?
 
hao polic wameanza kupika habari...huyo marehem alitoka kuchua money kama saa moja jioni,kwa kule makete mida hiyo sometimes hata jua halijazama ama ndo linazama.marehem akiwa kwenye tukutuku akaulizwa kwa nini hajavaa helmet? katika kujitetea ndo uyo ---- akampiga risas. ndugu wa marehem kutoka mbeya wamekataa kuchukua mait mpaka sasa yupo mochware hospital ya wlya makete.
 
Pole sana kwa familia ya marehemu na mwenyezi mungu anajua nini juu yao wasifadhahike sasa.
 
Very sorry and condoleance to the family left and thy must not to suffer too much but God knows everything to them.
 
Me'condoleance au famille laisser et aussi n'est pas etre telement decue mais Dieu save comment ouvrir touts a vous.
 
Kalani pa ulendo wa ambuye anyu honse akusiwa zimozimozi mudhigile tandiz kuchokera kw'ambuye.
 
Hao ndio police ccm na hakika mwisho wao waja!

police CCM ??? ACHA UJINGA!!!!!! La msingi walimu waonyeshe solidarity hili ni tukio baya na la unyanyaji? halina uhusiano na CCM SIKU SABA WASIENDE KAZINI KTK KULAANI NA Kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua
 
Yaani mtu ambaye hajaelimika ni mzigo kwa Taifa....Jeshi la Polisi ni moja ya kichaka cha watu walioshindwa maisha ya elimu, na haya ndio matokeo yake.
 
Walimu wenyewe hawatoshi, bado na hao waliopo mnawaua. Wakafundishe wao basi...
 
nimekuwepo na kushuhudia poliasi wakiibia raia wema kwa vitisho na bunduki zao na wakitishia kunipiga mimi eti nina mdomo sana kwa kujaribu kuwatetea.hata wakanitishia risasi kabisa na kuwasingizia kesi ambayo hata hawakuwa nayo ili watoe pesa!!.......

naogopa sana hawa plisi wetu kuliko majambazi aisee!..............bado nakumbuka walivyoniibia mimi na wale raia wema wengine usiku ule............na walivyogawana pesa ''waliyowapora'' majambazi kariakoo pale!
 
askari%20amuuwa%20mwalimu%20makete.jpg


Mwili wa marehemu Mwalimu Casto Sote Kawamba aliyepigwa risasi na Askari wa Jeshi la Polisi


ASKARI wa Jeshi la Polisi amemuuwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kitulo Wilayani Mkete kwa kumpiga risasi mgongoni kwa madai kwamba mwalimu huyo alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa Helment (Kofia ya kuendeshea Pikipiki).


Akizungumza na Habarimpya.com kwanjia ya simu Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Makete Peter Kaiza alimtaja marehemu kuwa ni casto sote kawamba na kusema kwamba tukio hilo lilitokea karibu na Benki ya NMB tawi la Makete.


"Mwalimu huyo alikuwa anakwenda kupata huduma za kibenki kupitia mashine ya kutolea pesa ya ATM akiwa na pikipiki ndipo alipo amuliwa na Askari mmoja aitwae Jose Msukuma ili asimame kabla ya kukutwa na umauti huo .

"Kamanda Kaiza alisema kwamba kifo cha mwalimu huyo inadaiwa kuwa ni kutovaa kofia hiyo na baada ya kuitwa na Askari huyo alikaidi amri na kutaka kumgonga askari huyo aliye kuwa lindo.

Nae mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Makete Idd Nganya ambaye ndie mwajiri wa marehemu amesema kuwa mwili wa marehemu bado umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya makete wakati utaratibu wakusafirisha mwili huo kwenda kwao Mkoani Mbeya kwa ajili ya mazishi ukiendelea


Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Makete Dk Michael Gulaka alisema kwamba walipokea mwili wa marehemu ukiwa na majeraha ya risasi mgongoni na si kwamba marehemun alimpokea akiwa hai kama inavyodaiwa na baadhi ya watu

KWA HISANI YA HABARI MPYA.COM
 
Picha hii nadhani ilishawahi kuwekwa hapa jamvini siku chache zilizopita katika thread iliyohusu tukio hili.

Huu ni ukatili ambao hatuwezi kuuzoea kama taifa licha ya matukio haya kujirudia rudia.
 
askari%20amuuwa%20mwalimu%20makete.jpg


Mwili wa marehemu Mwalimu Casto Sote Kawamba aliyepigwa risasi na Askari wa Jeshi la Polisi


ASKARI wa Jeshi la Polisi amemuuwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kitulo Wilayani Mkete kwa kumpiga risasi mgongoni kwa madai kwamba mwalimu huyo alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa Helment (Kofia ya kuendeshea Pikipiki).


Akizungumza na Habarimpya.com kwanjia ya simu Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Makete Peter Kaiza alimtaja marehemu kuwa ni casto sote kawamba na kusema kwamba tukio hilo lilitokea karibu na Benki ya NMB tawi la Makete.


"Mwalimu huyo alikuwa anakwenda kupata huduma za kibenki kupitia mashine ya kutolea pesa ya ATM akiwa na pikipiki ndipo alipo amuliwa na Askari mmoja aitwae Jose Msukuma ili asimame kabla ya kukutwa na umauti huo .

"Kamanda Kaiza alisema kwamba kifo cha mwalimu huyo inadaiwa kuwa ni kutovaa kofia hiyo na baada ya kuitwa na Askari huyo alikaidi amri na kutaka kumgonga askari huyo aliye kuwa lindo.

Nae mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Makete Idd Nganya ambaye ndie mwajiri wa marehemu amesema kuwa mwili wa marehemu bado umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya makete wakati utaratibu wakusafirisha mwili huo kwenda kwao Mkoani Mbeya kwa ajili ya mazishi ukiendelea


Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Makete Dk Michael Gulaka alisema kwamba walipokea mwili wa marehemu ukiwa na majeraha ya risasi mgongoni na si kwamba marehemun alimpokea akiwa hai kama inavyodaiwa na baadhi ya watu

KWA HISANI YA HABARI MPYA.COM
Uvutaji wa bangi ni wa kiwango kikubwa kwa askari Polisi wetu.Kuna asilimia kubwa ya askari ambao wanatumia bangi.
Silaha zipunguzwe mikononi mwa wavuta bangi hawa!!!!!!!!!
 
hivi huyu polisi ni vipi alikabidhiwa bunduki? coz inaonyesha hakuwa na akili kabisa. kosa kutovaa kofia ni faini ya elfu 20. Ye anaua!
askari%20amuuwa%20mwalimu%20makete.jpg


Mwili
wa marehemu Mwalimu Casto Sote Kawamba aliyepigwa risasi na Askari wa
Jeshi la Polisi



ASKARI wa Jeshi la Polisi amemuuwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kitulo
Wilayani Mkete kwa kumpiga risasi mgongoni kwa madai kwamba mwalimu
huyo alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa Helment (Kofia ya kuendeshea
Pikipiki).


Akizungumza na Habarimpya.com kwanjia ya simu Kamanda wa Mkoa wa
Kipolisi Makete Peter Kaiza alimtaja marehemu kuwa ni casto sote
kawamba na kusema kwamba tukio hilo lilitokea karibu na Benki ya NMB
tawi la Makete.


"Mwalimu huyo alikuwa anakwenda kupata huduma za kibenki kupitia
mashine ya kutolea pesa ya ATM akiwa na pikipiki ndipo alipo amuliwa na
Askari mmoja aitwae Jose Msukuma ili asimame kabla ya kukutwa na umauti
huo .

"Kamanda Kaiza alisema kwamba kifo cha mwalimu huyo inadaiwa kuwa ni
kutovaa kofia hiyo na baada ya kuitwa na Askari huyo alikaidi amri na
kutaka kumgonga askari huyo aliye kuwa lindo.

Nae mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Makete Idd Nganya ambaye
ndie mwajiri wa marehemu amesema kuwa mwili wa marehemu bado
umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya makete wakati utaratibu
wakusafirisha mwili huo kwenda kwao Mkoani Mbeya kwa ajili ya mazishi
ukiendelea


Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Makete Dk Michael
Gulaka alisema kwamba walipokea mwili wa marehemu ukiwa na majeraha ya
risasi mgongoni na si kwamba marehemun alimpokea akiwa hai kama
inavyodaiwa na baadhi ya watu

KWA HISANI YA HABARI MPYA.COM
 
Back
Top Bottom