Alienda kuchukua pesa,polisi aliyekuwa lindo kama saa moja na robo usiku akamsimaisha kwa kuendesha pikipiki bila helmet.Yakatokea mabishano na hapo polisi akamlipua.
Siijui namna ya kueleza zaidi kwani hata mimi roho inauma habari zaidi soma Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima
Siijui namna ya kueleza zaidi kwani hata mimi roho inauma habari zaidi soma Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima