Polisi: Maandamano ya Novemba 26 marufuku!

Kova amapiga marufuku maandamano ya wanaharakati na vyama vyote ambavyo vina mpango wa kuandamana
tarehe 26.11.2011 kwa sababu ya kuwepo alshabab nchini
images
images


Hapa tumpongeze sana kova kwa kazi nzuri

Mytake

1.clouds fm wanaanda tamasha la usiku 26.11.2011( wapigwa marufuku na wao)
2. Sugu anaandaa tamasha la usiku 26.11.2011 ( nayeye apigwa marufuku)
3.
Tarehe 26/11/2011 kuna harusi kibao na kutakuwa na misururu ya magari kufanikisha hilo je Alshabab wana matatizo gani na waandamanaji wanaopinga mchakato mbovu wa katiba na wale wanaopinga Dowan's kulipwa?? mimi nadhani umefika wakati sasa kujihami na polisi zaidi kuliko alshabab. Mbona Baba riz1 alipokuwa anaongea na lundo la wanaCCM wakongwe hakupigwa au Alshabab ni rafiki zake?
 
Hivi hii serikali wanajua wanasema nini? Wanautangazia ulimwengu kuwa Tanzania sio salama, Al-Shaabab wako kila mahali kiasi kwamba hata mikusanyiko ya watu imekatazwa! Viongozi wa Kenya wanahaha kila kona CNN, BBC etc kueleza dunia hali ni shwari pamoja na kwamba wako vitani na Al-Shaabab. Sisi tumeamua kutangaza hatari. Ni kweli Tanzania iko kwenye hatari? Balozi za nje wakiweka maneno ya KOVA kwenye website zao kukataza watu wao wasije Tanzania nani wa kulaumiwa? Maige na Mama Nagu wa uwekezaji wanasemaje?
 
Tusiwalaumu polisi, hebu tuimulike sauti inayotoka nyuma ya pazia na kuwaamlisha polisi kila mara kusimamia ukiukwaji wa haki ya kikatiba ya kuandamana. Hao watakuwa ni Ccm maana wao ndio wanajiona wamiliki wa vyombo vya Dola na kusahau kuwa umma ni Watanzania ambao wao polisi wanawatwanga virungu na mabomu kila waandamanapo. Kuhusu kisingizio cha Alshabab wasije wakatuchulia bure pale ALSHABAB HALISI watakapokuja rasmi Polisi watasema nini.,POLISI WASIJIFANYE WANA UCHUNGU NA RAIA WAKATI KILA SIKU WANAWAUWA KWA MARISASI.
 
Nilitegemea jibu hilo, yangeruhusiwa tu endapo ni ya kupongeza selikali na chama
 
Maandamano yaliyotaka yafanywe na asasi zisizo za kiserikali kudai marekebisho ya mswada wa katiba yamekwaa kisiki kikuu cha alshababu, Mpaka nawasilisha nikuwa kutokana na Tishio la alshabab hakutakuwepo kwani ni gharama na kazi kubwa kuhakikisha usalama katika maandamano yao.

Atakaye andamana kukutana na nguvu ya dola.


Naomba kuwasilisha


My Take:

Mbona mkuu wa kaya alikaa na wazee

Waache waendelee kutunyanyasa....iko siku yao....:smash::smash::smash:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hawa polisi wetu wamekuwa mbwa sasa maana hawajui maana ya kuzuia na maana ya kusupport jambo,sijui hiyo katiba inayotetewa ni yaraia tuuuu haiwahusu waoo...Shame on them.WASIJALI IPO SIKU TUU WATAKUWA WANADHIBITI CCM MUDA SI MREFU UPINZANI UKIINGIA MJENGONI.Bastad..!!
 
Mpaka sasa wanaharakati wa kutetea mabadiliko na kuitakia mema nchi yetu, tena kwa moyo mkunjufu kabisa, hatuna taarifa RASMI kutoka polisi ya kupiga marufuku maandamano hayo! Ni maandamano ya amani.

Halafu, kwa taarifa yenu asilimia kubwa sana ya majengo yanayoota kama uyoga katikati ya jiji na kule Kariakoo ni watu wenye uhusiano na Al Shabaab!. Kwa hiyo wale jamaa sio tishio la amani hapa Tanzania. They have invested a lot of their money here and would like to disturb peace in this country. Trust me!
 
Kwa wale wana historia. Je kuna maandamano kama hayo yaliyowahi kufanikiwa huko Tanganyika mpaka kufikia sasa nusu karne?

Je waTanganyika mna ujasiri huo?

Hicho ni kipimo cha unafiki wa wadanganyika.
 
Maandamano yaliyotaka yafanywe na asasi zisizo za kiserikali kudai marekebisho ya mswada wa katiba yamekwaa kisiki kikuu cha alshababu, Mpaka nawasilisha nikuwa kutokana na Tishio la alshabab hakutakuwepo kwani ni gharama na kazi kubwa kuhakikisha usalama katika maandamano yao.

Atakaye andamana kukutana na nguvu ya dola.


Naomba kuwasilisha


My Take:

Mbona mkuu wa kaya alikaa na wazee
Polisi ni wanafiki kama wanasema askari wa kutosha kulinda maandamano kwa tishio la al kaida sasa watapata wapi Polisi wa kuzuia maandamano??????Hao ni wanafiki wanaelekezwa la kufanya na wakubwa zao, ila nguvu za umma ni kubwa kuliko jeshi la polisi and CO.!!!!!!!!!!

 
Sijawai sikia serikali hii ya Tanzania hisiyopenda kufanya kazi.
Hipo tu kwa hisia na kuwaragai watu na tishio la alshabab.
Himeonyesha jinsi gani hatuna ulinzi hapa kwetu,kama ndo hivyo tuajiri masai watulinde.
Hiii inakela mpo tu kazi kuvuaa magwanga.
Woga huu alshabab awajatupiga mkwara JE wakitupiga mkwara natumaini wote na Rais wetu tutajifungia kabatini.
 
Sijawai sikia serikali hii ya Tanzania hisiopenda kufanya kazi.
Hipo tu kwa hisia na kuwaragai watu na tishio la alshabab.
Himeonyesha jinsi gani hatuna ulinzi hapa kwetu,kama ndo hivyo tuajiri masai watulinde.
Hiii inakela mpo tu kazi kuvuaa magwanga.
Woga huu alshabab awajatupiga mkwara JE wakitupiga mkwara natumaini wote na Rais wetu tutajifungia kabatini.
 
Look at these:

Al Shabaab hawana shida na:
1. Kusanyiko na wazee wa CCM kwenye hotuba ya JK
2. Viwanja vya mpira kwenye Kagame Cup ambapo kutakuwa na timu za taifa za maadui zao kama Kenya, Uganda, Burundi nk.
3. Kusanyiko la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru
5. Vyombo vya usafiri kama vile treni, mabasi meli nk.
6. Mashule na vyuo mbalimbali

Al Shabaab wa phobia na maandamano ya raia wa kawaida wanaodai haki zao za kikatiba.
 
Maandamano yaliyotaka yafanywe na asasi zisizo za kiserikali kudai marekebisho ya mswada wa katiba yamekwaa kisiki kikuu cha alshababu, Mpaka nawasilisha nikuwa kutokana na Tishio la alshabab hakutakuwepo kwani ni gharama na kazi kubwa kuhakikisha usalama katika maandamano yao.

Atakaye andamana kukutana na nguvu ya dola.


Naomba kuwasilisha


My Take:

Mbona mkuu wa kaya alikaa na wazee
Mimi nimechoka kama Watanznia wote wamechoka na Polisi basi maandalizi yatafanyika tu nadhani wanahamu ya kumwaga damu za watu wasio na hatia kama Arusha na Nyamongo
 
Kwa wale wana historia. Je kuna maandamano kama hayo yaliyowahi kufanikiwa huko Tanganyika mpaka kufikia sasa nusu karne?

Je waTanganyika mna ujasiri huo?

Hicho ni kipimo cha unafiki wa wadanganyika.

Kila kitu kina mwanzo wake. hata kama maandamano kama haya hayajawahi kufanikiwa. huenda Nov 26 ikaandikwa historia mpya ya MAFANIKIO.
 
Back
Top Bottom