MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Haaaaaa kumbe waheshimiwa wanapitiaga JF nimemuona Nahodha anasema wao wametumwa wawatafute hao watu wanaosambaza ujumbe,makampuni yamemgomea kumpa details kwa ajili ya kulinda mteja na kutopoteza wateja wao...
Safi kabisa