Polisi Kuwasaka Waliompa JK Siku 100

Status
Not open for further replies.

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Kwa mujibu wa Bwana Vuai Nahodha. Anampango wa kuzibana kampuni za simu ziwataje wanaosambaza hizo meseji, laa watakula ban ya kufanya biznez. Yangu macho. Source ITV.
 
Ngoja tuone kama watafanikiwa, kumbe wameshaona ni noma na inaweza ikawa kweli. Binafsi naona ni vigumu sana kwani huwezi kupigana na "IDEOLOGY" ambayo ipo vichwani mwa watu. ikumbukwe kuwa kama wanavyo sema wametapakaa sehemu mbalimbali hadi ikulu hii itakuwa ngumu sana. Wanaogopa yale ya EPA.

Ikulu tamu asikuambie mtu, lakini swali dogo tu Nahodha alitakiwa alijibu kabla ya kutoa hiyo ultimatum, je kuna ukweli wa madai yaliyotolewa? ikiwa ni kweli nini kifanyike au walikosea wapi mpaka hali hii ikafika ilipo? Kitakachofuatia hapa ni kama ile sinema ya kuuawa kwa Kabila. Huwezi kuamuru baadhi ya walinzi wako wauawe wakati jamaa zao bado wanakulinda wapi na wapi.
 
Kazi wanayo,watimize what the Tanzanian demands waone kama kuna mtu atawasumbua kiasi hicho
 
anatafuta umaarufu, hayo maneno yameundwa na kusambazwa na ccmizi napoliccm wao.
 
Haaaaaa kumbe waheshimiwa wanapitiaga JF nimemuona Nahodha anasema wao wametumwa wawatafute hao watu wanaosambaza ujumbe,makampuni yamemgomea kumpa details kwa ajili ya kulinda mteja na kutopoteza wateja wao...
 
Wanachopaswa kufanya ni kurekebisha dosari zinazolalamikiwa na si kuhangaika na watu wanaolalamika au kutoa ultimatum.

Huku ndiko kupoteza uelekeo. Zama za kuwatisha watu zimepita. Khaaa!

Uhuru wa kuongea una mipaka yake japo kuwa hao waliotishia wana madai ya msingi lakini ifahamike walichotaka kukifanya ni uhaini na kosa lake ni kifungo cha maisha au kuhukumiwa kunyongwa last time I check. Section 39 and Section 40 of the penal code ya Tanzania stipulates that treason is punishable by death penalty.

Vile vile misprision of treason (someone who knows there are some activities of treason) is punishable by life imprisonment.

Kuweni waangalifu jamani na sheria za nchi sio mnakurupuka.
 
isije ikawa wanawatafuta wa jf

Hakuna wa jf wanayemtafuta hapa. Kwanza ni rahisi sana wala huhitaji kutangaza ktk TV kumpata mtu aliyeiingiza kwenye net kwa mara ya kwanza. Tatizo linalokuja ni kuwa imezagaa mno na kumbuka maadhimisho ya uhuru yapo jrani lazima wajue hatma mapema au wapate angalau intelijensia.

Ukiona waraka kama ule mpaka mama ntilie wafungia mandazi ujue nchi haina usalama wa taifa. Na tatizo jingine hata hao baadhi ya usalama wa taifa yawezekana wapo ktk huo mpango hivyo kila linalofanyika kikosi kazi 2858 wanapata feedback na kubadili mikakakati.

Usiombee usalama wa taifa na jeshi wakaasi huwezi kuzuia kitu hapo.
 
Hawana jipya hao wanatafuta CDM tu,lakini mi namfahamu aliyeandaa ni Rejao akisaidiana na Mzee
 
Wanachopaswa kufanya ni kurekebisha dosari zinazolalamikiwa na si kuhangaika na watu wanaolalamika au kutoa ultimatum.

Huku ndiko kupoteza uelekeo. Zama za kuwatisha watu zimepita. Khaaa!
You are genius Mkuu!
 
You have to admire the ability of Kikwete & his govt in the field of drama & comedy.

However clueless, ruderless and spineless they collectively are, but still they possess guts to perfom those shows.
 
hakuna wa jf wanayemtafuta hapa. kwanza ni rahisi sana wala huhitaji kutangaza ktk TV kumpata mtu aliyeiingiza kwenye net kwa mara ya kwanza. Tatizo linalokuja ni kuwa imezagaa mno na kumbuka maadhimisho ya uhuru yapo jrani lazima wajue hatma mapema au wapate angalau intelijensia . ukiona waraka kama ule mpaka mama ntilie wafungia mandazi ujue nchi haina usalama wa taifa. Na tatizo jingine hata hao baadhi ya usalama wa taifa yawezekana wapo ktk huo mpango hivyo kila linalofanyika kikosi kazi 2858 wanapata feedback na kubadili mikakakati. Usiombee usalama wa taifa na jeshi wakaasi huwezi kuzuia kitu hapo.

Mkuu,

Hakuna kujificha katika net kuna vichwa dunia hii acha tu ze utamu yuko wapi ananyea ndoo segerea. Think before you post anything katika internet.
 
Uhuru wa kuongea una mipaka yake japo kuwa hao waliotishia wana madai ya msingi lakini ifahamike walichotaka kukifanya ni uhaini na kosa lake ni kifungo cha maisha au kuhukumiwa kunyongwa last time I check. Section 39 and Section 40 of the penal code ya Tanzania stipulates that treason is punishable by death penalty.

Vile vile misprision of treason (someone who knows there are some activities of treason) is punishable by life imprisonment.

Kuweni waangalifu jamani na sheria za nchi sio mnakurupuka.

Ha ha ha haaa! Kumbe waoga mko wengi eeeh?

Ukisoma kwa makini ujumbe ule utagundua kwamba baadhi ya waliotoa taarifa au pengine pia ni wahusika wakuu ni close associates wa mkulu au wa aides wa mkulu (inaelekea wanajua wanahoji nini). Yaliyohojiwa kama hayajakuathiri wewe directly yatawaathiri nduguzo. Sheria zipo ili ziwe tested!

Usiabudu sana sheria, ziheshimu ukiweza; ukiona hutendewi haki put them to test.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom