BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Wapuuzi hao.Polisi amkamate Mwanajeshi wapi na wapi?Wanajifurahisha tu.Na wakiwakamata TUTAWAKOMBOA,wasituletee vitisho vya ki **** hapa.Tutaanza na yeye NAHODHA.Ngoja tuone kama watafanikiwa, kumbe wameshaona ni noma na inaweza ikawa kweli. Binafsi naona ni vigumu sana kwani huwezi kupigana na "IDEOLOGY" ambayo ipo vichwani mwa watu. ikumbukwe kuwa kama wanavyo sema wametapakaa sehemu mbalimbali hadi ikulu hii itakuwa ngumu sana. Wanaogopa yale ya EPA.
Ikulu tamu asikuambie mtu, lakini swali dogo tu Nahodha alitakiwa alijibu kabla ya kutoa hiyo ultimatum, je kuna ukweli wa madai yaliyotolewa? ikiwa ni kweli nini kifanyike au walikosea wapi mpaka hali hii ikafika ilipo? Kitakachofuatia hapa ni kama ile sinema ya kuuawa kwa Kabila. Huwezi kuamuru baadhi ya walinzi wako wauawe wakati jamaa zao bado wanakulinda wapi na wapi.