lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,181
- 2,680
- Thread starter
- #21
Sina hakika mkuu lkn nilipofika wao dawati lao liko nje ya kituo sasa sijajua ni kitengo maalum au kimekuwa combined na vitengo vya matukio mengine au vpHivi huwa kina kitengo cha loss report, au kitu hiki huwa kinafanywa na polisi yoyote anayehusika kama ilivyo katika kukamata wahalifu?