PreGE2025 Polisi kamateni Faris Burhan Mwenyekiti UVCCM Kagera kufuatia kutekwa kwa Mdude

PreGE2025 Polisi kamateni Faris Burhan Mwenyekiti UVCCM Kagera kufuatia kutekwa kwa Mdude

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
25
Reaction score
47
Screenshot_2025_0224_131253.png

Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
 
Tuko pabaya kama nchi. Inssikitisha sana. Lakini haya niliyatarajia baada ya kifo chenye utata cha hayati raisi magufuli.
 

Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
Projekti hii ya kumkamata bosi wao ni sawa na kuwataka wajenge mlima mbadala wa Kilimanjaro.
 
Na hapo unaweza Kuta ni swala kumi na tano
 
Polisi wetu siku hz wao Wana deal na wapinzani tu hata siku Moja hawawezi kumgusa mtu wa chama dola
 
Wakishavaa hayo manguo yao wanajifanya kama miungu watu.
Usikosee kuoa. Utajuta


Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
Mkuu Pascal Mayalla
Hivi huko mnapoenda kwenye press za muliro daily huwa mnamuuliza kuhusu huyu mtu?!
Au afika democracy unayohubiri?!
 

Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
Mwana CCM huwa anakamatika? Tena kiongozi wao? Haupo serious
 

Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
Anajiandaa kugombea ubunge jimbo la Kyerwa. Wahaya kazi kwenu
 

Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute.

Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.

Pia soma
Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya watekaji.
 
Back
Top Bottom