TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Mkuu nakuashuri uwe una-ignore threads zinazomhusu Lema, zinakushushia sana heshima na kukufanya udharaulike sanaMkuu Derimto.
Kadhia yote hii imesabishwa na mtu mmoja mpenda sifa za kitoto kibaya zaidi viongozi wake badala ya kutumia akili wakajiingiza kichwa kichwa.
tunajua ana matatizo yake, lakini you are pushing it too far....
tuliza ball, angalia threads nyingine mkuu, mgombea wako alishashindwa, humpendi Lema na uko Arusha... vyatosha mkuu, vyatosha sasa!!!